APR, Bumamuru katika mechi ya mtego

MIAMBA ya soka la Rwanda, APR itatupa karata yao ya kwanza leo, Jumatano kwenye mashindano ya Kombe la CACAFA Kagame 2025 ambayo yalianza jana,Jumanne kwa kucheza dhidi ya Bumamuru FC ya Burundi huku ikiwa na hesabu ya kutwaa kombe hilo kwa mara ya nne. APR ni miongoni mwa klabu zilizofanikiwa zaidi kwenye Ligi ya Rwanda…

Read More

Benchikha afungua ‘CODE’ za beki Simba

SIMBA imerudi mazoezini ikiendelea kujipanga hapa nchini, lakini kuna kocha mmoja aliyewahi kuinoa timu hiyo ameshtuka aliposikia usajili wa mido mmoja akisema pale Msimbazi wamepata kamanda matata uwanjani. Kocha aliyezungumza hayo ni Abdelhak Benchikha, ameshtuka kusikia kiungo Alassane Kante amesajiliwa na timu hiyo kisha akakumbuka fasta ilikuwa afanye kazi na Msenegali huyo akiwa Misri. Benchikha…

Read More

Uchaguzi ni kama dabi ya Kariakoo

Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 unakuja kwa kasi, na kama kawaida. Maandalizi yamejaa maneno, porojo na hekaya za kila namna. Mtaani tunapishana na mabango, bendera, fulana, khanga na kofia za wagombea. Kwa kawaida kampeni ni kachumbari ya uchaguzi. Kila chama kikipiga tantalila zake, kila mwanasiasa akijiona kuwa staa wa siasa. Na wapiga kura wanamshangilia kama…

Read More

Fyatu kuzoea viti vyote chatani na kayani

Kama Mafyatu na wasomaji wangu wote wajuavyo, hiki ni kipindi cha uchakachuaji, sorry, uchafuzi, sorry, uchaguzi. Mbali ya kuwa msimu wa kufyatuana na kufyatuliwa, ni msimu wa kutumia akili vilivyo. Ni msimu wa kusukuti namna ya kufyatuana mkenge. Wakati mwingine inabidi ujitoe ufahamu ili kuwanasa mafyatu ambao unaweza kuwashtaki kwa kujitoa ufahamu kutaka kufahamu mambo…

Read More

Dk Nchimbi amkaribisha Mpina akisubiri kesi yake leo

Kisesa. Wakati shauri kupinga kuenguliwa kwa Luhaga Mpina kwenye kinyang’anyiro cha urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, likipangwa kutajwa leo, jina lake limeibuka kwenye kampeni zinazoendelea. Dk Emmanuel Nchimbi, mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, amemtumia ujumbe Mpina akimwomba ampigie kura na arejee kwenye chama hicho tawala. Dk Nchimbi alitoa ujumbe huo jana Septemba…

Read More