Vyama vya upinzani vinavyosuasua kufanya kampeni

Dar es Salaam. Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu zimefikia siku ya saba, huku wagombea urais wa baadhi ya vyama vya siasa wakisuasua kufanya mikutano ya kampeni kwa kile wanachodai wapo kwenye mipango ya kuibuka kwa kishindo. Pamoja na mikakati hiyo ya kuibuka kwa kishindo, suala la ukata nalo wamelitaja kuwa miongoni mwa sababu za…

Read More

Bashiri Mapema Anayeshuka Daraja EPL 2025/26

MSIMU mpya tayari umeanza na wakali wa ubashiri Meridianbet wamekupatia ODDS KALI kwa timu ambazo zinaweza kushuka daraja au zenye nafasi kubwa ya kwenda kushiriki CHAMPIONSHIP. Je bashiri yako unampa nani?. Tandika jamvi la kijanja hapa. Nafasi kwanza ya kushuka daraja msimu huu mpya wa 2025/26 wanapewa Burnley wakiwa na ODDS 1.30. Klabu hii imepanda…

Read More

Meridianbet Yaisogeza Mtaani Meridian Bonanza

MERIDIANBET imeusogeza kwenu mchezo mpya wa kasino mtandaoni, Meridian Bonanza, ambao tayari unazua shauku kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri. Mchezo huu ni mkubwa, wa kisasa na wenye ubunifu wa hali ya juu, unaokuweka karibu na ushindi wa kusisimua kila unapopiga mzunguko wako. Meridian Bonanza inachagizwa upekee wake kwa kipengele cha Ante Bet. Wachezaji wanapewa…

Read More

Serikali yamaliza mgogoro wa ardhi Shinyanga

Shinyanga. Serikali imesema itatuma timu ya kamishna wa ardhi kwenda wilayani Kahama mkoani Shinyanga ili kuzitambua baadhi ya kaya zilizosahaulika wakati wa tathmini ya umilikishwaji wa ardhi katika eneo la zaidi ya ekari 300 za Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (Mwanva) FDC. Wananchi hao ni wale waliosahaulika kwenye Takwimu zilizotolewa kwa Rais wa awamu ya…

Read More

Gumzo ahadi za wagombea urais, wadau watahadharisha

Dar es Salaam. Wakati kampeni za wagombea nafasi za urais, ubunge na madiwani, zikipamba moto tangu kuanza kwake Oktoba 28, 2025, sera na ahadi mbalimbali zimeendelea kunadiwa majukwaani licha baadhi ya wagombea kuja na ahadi zinazogonga vichwa vya habari hasa ikiangaliwa utekelezaji wake. Vyama 17 kati ya 18 vilivyosaini kanuni za maadili ya Uchaguzi Mkuu…

Read More

Dk Nchimbi aeleza sababu Samia kuwa chaguo sahihi

Itilima. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema kazi kubwa aliyoifanya Mwenyekiti wa chama hicho na Rais Samia Suluhu Hassan inawapa ahueni ya kuomba kura. Aidha Dk Nchimbi amesema Rais Samia ameboresha mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mbalimbali hali inayochagiza kuvutia zaidi uwelezaji. Ameikamilisha miradi ya kimkakati iliyoachwa na…

Read More