NIKWAMBIE MAMA: Wala rushwa katika sura ya hisani

Mtu wa Pwani anaweza kuuliza swali linalofanana na jibu: “Hapo pajani pajani?” Kama anayeulizwa ni wa kutoka bara anaweza kujibu: “Sasa kumbe ulifikiria pajani ni gotini?” Lakini kumbe anakuwa hajaelewa kabisa mwenzake anaulizia nini. Swali ni: “Hapo kwenye paja panakuja nini? Ni kama mtu aliyeona dalili ya kitu kisicho cha kawaida (labda kipele hivi) kwenye…

Read More

KONA YA MALOTO: Uchaguzi Mkuu 2025, harakati na ukumbusho muhimu

Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye anawania kurejea madarakani kwa muhula wa pili, hivi karibuni alitoa kauli, na kwa msisitizo alikumbusha kwamba yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Alisema, Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi, amani, utulivu na usalama vitatawala, watu wajiandae kupiga kura bila wasiwasi. Alisema: “Hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.” Kauli hiyo ya Rais Samia,…

Read More

Bado Watatu – 38

Kwa msaada wa polisi wa usalama barabarani pikipiki ilikamatwa mara moja. Ilikutwa katika kituo cha bodaboda cha Kwaminchi. Mwenye pikipiki ndiye huyu hapa niliyekuja naye. Sasa nataka na yeye mumsikilize.” Inspekta Amour akamatazama yule kijana wa bodaboda.

Read More