BDL Ngoma ngumu, Dar City ikishinda jiooni
NUSU fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imeanza na moto huku timu zilizoshinda zikifanya hivyo kwa mbinde kutokana na ushindani uliopo ambao umeyanfanya mashindano hayo mwaka huu kuwa ya aina yake. Tofauti na miaka michache ya karibuni iliyopita ambapo ligi hiyo haikuwa na ushindani mkali kutokana na kutokuwa na uwekezaji…