
Sakata La Muuguzi Kibondo Mganga Mkuu Wa Serikali Atoa Tamko – Global Publishers
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewatoa hofu wananchi juu ya picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Muuguzi na Askari wakivutana katika Hospitali ya Halmashauri ya Kibondo huku ikidaiwa askari kuvamia chumba cha kujifungulia, jambo ambalo amesema sio kweli na likiwa na nia ovu ya kuichonganisha Serikali na wananchi. Dkt. Magembe ametoa ufafanuzi huo…