BDL Ngoma ngumu, Dar City ikishinda jiooni

NUSU fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imeanza na moto huku timu zilizoshinda zikifanya hivyo kwa mbinde kutokana na ushindani uliopo ambao umeyanfanya mashindano hayo mwaka huu kuwa ya aina yake. Tofauti na miaka michache ya karibuni iliyopita ambapo ligi hiyo haikuwa na ushindani mkali kutokana na kutokuwa na uwekezaji…

Read More

Bajana ataja yatakayoibeba JKT Tanzania

KIUNGO wa JKT Tanzania, Sospeter Bajana amesema kikosi hicho kitafanya vyema msimu huu, kwa sababu kuu mbili, falsafa ya Kocha Ahmad Ally na ubora wa mastaa. Bajana ambaye ameitumikia Azam kwa kipindi cha miaka 15, huu unakuwa msimu wake wa kwanza JKT Tanzania, akiwa amesaini mkataba wa miaka miwili. JKT Tanzania iliyoanza vyema Ligi Kuu…

Read More

Mtihani mwingine Ibenge, Folz Bara

LEO Jumatano, Kocha wa Azam, Florent Ibenge na wa Yanga, Romain Folz, wanaanza kibarua cha kuziongoza timu hizo katika Ligi Kuu Bara. Makocha hao wanaingia uwanjani wakiwa wametoka kupata ushindi muhimu ugenini kwenye mashindano yanayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) upande wa ngazi ya klabu. Azam itaikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa…

Read More

Bado Watatu – 37

Alinipeleka katika chumba kimoja ambako nilimkuta mume wangu Sufiani akiwa pamoja na askari niliyemfahamu kwa jina la Sajin Meja Robert. Polisi hao walikuwa wamepata ushahidi kuwa siku ile lilipotokea tukio…

Read More

Kombe la Europa Linarindima na Fursa za Ushindi Meridianbet

MASHINDANO ya Kombe la Europa yanarejea kwa kishindo leo, huku kila kikosi kikijiandaa kwa vita ya pointi muhimu kuelekea hatua za juu zaidi. Kwa mashabiki wa kubashiri, Meridianbet imeweka mezani michezo mingi ya kuvutia na machaguo tele kuhakikisha huachiwi nyuma katika safari ya ushindi. Kutoka jiji la Sevilla, Real Betis wanaingia dimbani Estadio De La…

Read More

Sababu mabango ya upinzani ‘kufunikwa’

Kampeni za uchaguzi zinahusisha njia nyingi zinazowafanya wananchi wahamasike kumchagua mgombea au chama fulani ambacho kitawafikia na kuwashawishi kwamba ndiyo kinastahili kuongoza Serikali. Moja ya njia hizo ni mikutano ya hadhara ambayo vyama vya siasa vinakwenda moja kwa moja kwa wananchi na kuwaeleza kuhusu ilani za vyama vyao na kuahidi mambo ambayo wakipewa ridhaa watayafanya…

Read More