Guterres anatoa Papua New Guinea kama mfano wa utofauti, mazungumzo na hatua ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

António Guterres ndiye wa kwanza anayehudumia Katibu Mkuu wa UN kutembelea nchi, ambayo inaadhimisha miaka 50 ya uhuru. Alisifu utofauti wake mkubwa, na lugha zaidi ya 800 zilizozungumzwa na mila nyingi. Kujitolea kwa amani, hadhi na maendeleo “Na bado, una ahadi ya pamoja ya kuongea na sauti moja – kuwa na ‘mazungumzo moja’ – kwa…

Read More

Masele, Katambi waitwa jukwaani kuyamaliza, Dk Nchimbi asema…

Shinyanga. Jimbo la Shinyanga Mjini, ni moja kati ya majimbo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yaliyokuwa na mvutano mkali katika mbio za kumpata mgombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Kati ya watinia lukuki waliojitokeza, Patrobasi Katambi na Stephen Masele ndiyo walikuwa katika vuta nikuvute kubwa. Wawili hao, wamekuwa kwenye ‘vita’…

Read More

EQUITY NA TALEPP KUZINDUA MAPINDUZI SEKTA YA NGOZI

:::::: Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, TALEPPA, kwa lengo la kufungua fursa mpya katika sekta ya ngozi na kuimarisha viwanda vya ndani,Makubaliano hayo yameambatana na uzinduzi wa Mradi wa Viatu vya Shule Tanzania, TALSSI, unaolenga kuongeza thamani ya ngozi ya ndani na kuchochea…

Read More

MWENGE WA UHURU KUPITIA MIRADI YA BILIONI 1.6 CHATO

Vyumba viwili vya madarasa shule ya msingi Nyabilezi Shule ya Sekondari Kitela ikiwa ni miongoni mwa miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru Nyumba ya kulala wageni(The Grace Hotel) iliyopo kata ya Bwanga ambayo miongoni mwa miradi itakayowekewa jiwe la msingi na mwenge wa uhuru. ……….. JUMLA ya miradi yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.6 inatarajiwa…

Read More

Maximo aanza Kagame Cup 2025, APR kicheko

KMC inayonolewa na kocha Marcio Maximo imeanza vyema michuano ya Kombe la Kagame 2025 kwa kuifumua Mlandege ya Zanzibar kwa mabao 3-2. Ushindi huo umeifanya KMC kuwa timu ya kwanza Bara kuzoa pointi zote tatu, baada ya jana Singida Black Stars kubanwa na Coffee ya Ethiopia iliyomaliza pungufu na kutoka suluhu jana kwenye Uwanja wa…

Read More

Upelelezi bado kesi ya polisi kupora bodaboda ‎

‎‎Moshi. Jamhuri imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kuwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro bado linaendelea na upelelezi wa kesi ya wizi wa pikipiki kwa kutumia silaha inayowakabili askari wanne wa Kitengo cha Intelijensia. ‎‎Taarifa hiyo imetolewa leo Jumatano, Septemba 3, 2025 na mwendesha mashtaka katika kesi hiyo, Wakili wa Serikali Jackson Matowo, wakati…

Read More