NIKAMBIE MAMA: Wala rushwa katika sura ya hisani

Mtu wa Pwani anaweza kuuliza swali linalofanana na jibu: “Hapo pajani pajani?” Kama anayeulizwa ni wa kutoka bara anaweza kujibu: “Sasa kumbe ulifikiria pajani ni gotini?” Lakini kumbe anakuwa hajaelewa kabisa mwenzake anaulizia nini. Swali ni: “Hapo kwenye paja panakuja nini? Ni kama mtu aliyeona dalili ya kitu kisicho cha kawaida (labda kipele hivi) kwenye…

Read More

FYATU MFYATUZI: Walichagua mbung’o wakidhani mbunge!

Mbung’o, chafuo, au ndorobo au tsetse fly kwa kimasai ni mdudu asababishaye ugonjwa hatari wa malale kwa wanadamu na nagana kwa wanyama. Kama inzi wengine, mbung’o si hatari tu bali mchafu na mwenye kueneza maradhi mbali na kuchafua vyakula. Je, wajua mja aweza kuwa mbung’o? Kuna kisa kilitokea kwenye kaya ya Fyatuko. Katika kisa hiki,…

Read More

Guterres anaonya dhidi ya upotezaji wa kasi ya kidiplomasia ‘dhaifu’ juu ya Ukraine – Maswala ya Ulimwenguni

Na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameketi kwenye chumba cha iconic baada ya kufika kushiriki katika wiki ya kiwango cha juu cha UN, Katibu Mkuu aliangalia nyuma mnamo Februari wakati baraza lilikuwa na alama ya maadhimisho ya tatu ya uvamizi kamili wa Urusi. Tangu wakati huo, kumekuwa na ushiriki wa kidiplomasia “mkali” lakini pia “kuongezeka…

Read More

CCM itakavyoibadili Wanging’ombe | Mwananchi

Njombe. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaahidi wananchi wa Wanging’ombe, Mkoa wa Njombe ujenzi wa visima vikubwa 150 vitakavyowawezesha kulima kilimo cha umwagiliaji huku vitongozi zaidi ya 200 visivyo na umeme vitaunganishiwa huduma hiyo. Pia, ujenzi wa shule mpya za msingi tatu, barabara kwa kiwango cha lami na changarawe na kuboresha huduma za afya kwa kujenga…

Read More