MZUMBE NA UNDP WAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

Farida Mangube, Morogoro Katika jitihada za kuendeleza elimu ya juu, utafiti na ubunifu nchini, Chuo Kikuu Mzumbe kimesaini mkataba wa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Makubaliano hayo ambayo yanalenga kuimarisha mchango wa elimu katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) huku yakitoa fursa kwa vijana na watafiti nchini kushiriki kikamilifu…

Read More

Matumizi ya Nishati Safi Kupikia Yapata Msukumo Mpya

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza baada ya baadhi ya wananchi kukabidhiwa zawadi walizojishindia kupitia kampeni ya “Gesi Yente” inayoendeshwa na kampuni ya Oryx Energies, kama motisha ya kuhamasisha ununuzi na matumizi ya gesi ya kupikia. Hafla ya kukabidhi zawadi hizo imefanyika leo Septemba 2, 2025…

Read More

Deusdedity Okoyo mbioni kujiunga na Mbeya City

UONGOZI wa Mbeya City upo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Deusdedity Okoyo aliyekuwa akiichezea KMC msimu uliopita ili kuongeza nguvu kwenye eneo la kiungo cha kati. Kama uhamisho wa Okoyo utakamilika atakutana na ushindani wa wachezaji wengine wanaotajwa kujiunga na kikosi hicho Omary Chibada anayedaiwa kutokea Kagera Sugar, Jeremie Ntambwe Nkolomoni ambaye ni…

Read More

Gamondi  aanza na sare Kagame 

KOCHA Miguel Gamondi ameanza na sare akiwa na Singida Black Stars kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Katika mechi hiyo ya kwanza ya kimashindano kwa kocha huyo aliyewahi kuifundisha Yanga, tangu apewa mikoba ya kuongoza kikosi hicho, Singida BS ilionekana kutokuwa na makali katika…

Read More

FLATEI ATIMKA AVT, AREJEA CCM KUMUOMBEA KURA RAIS DK. SAMIA

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira akiwa pamoja na Aliyekuwa Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Gregory Massay, aliporudi rasmi katika chama cha mapinduzi (CCM) akitokea ACT Wazalendo alipokua amejiunga hivi karibuni. ……………… ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Mbulu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Flatei Maasai ametangaza kurejea CCM akitokea ACT Wazalendo…

Read More

Mahakama yaridhia Exim kumshtaki Gavana BoT

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeiruhusu Benki ya Exim kufungua shauri dhidi ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupinga uamuzi wa kuirejeshea isivyo halali Kampuni ya Swiftline Logistics Limited Dola 224,000 za Marekani zilizochukuliwa kwenye akaunti. Uamuzi huo umetolewa na Jaji Awamu Mbagwa, katika shauri la Exim la…

Read More