SHULE YA MSINGI MPAKANI YAPATA MSAADA WA MATANKI YA MAJI SAFI KUTOKA ANGLE PARK.

 Dar es Salaam – Uongozi wa Angle Park umeeleza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kusaidia kutatua changamoto zinazozikabili shule za msingi na sekondari, hususan zilizoko katika maeneo jirani na makazi yanayozunguka kampuni hiyo. Akizungumza katika makabidhiano kwa uongozi wa Shule ya Msingi Mpakani, Mkurugenzi wa Angle Park, Bonifasi Daniely, amesisitiza kuwa…

Read More

Kwa nini bei siyo kipimo cha ubora wa bidhaa

Dar es Salaam. Kwa miaka mingi kumejengeka dhana miongoni mwa Watanzania kuwa bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya kifahari ni halisi (original), huku zile zinazopatikana kwenye masoko ya kawaida yenye msongamano ni feki. Si hivyo tu, wapo wanaoamini bidhaa ikiwa ghali ndiyo halisi. Lakini je, bei ndiyo kipimo cha ubora? Mtazamo huo kwa muda mrefu umeathiri…

Read More

Chama cha mawakili wa Serikali, TLS ngoma nzito

Dar es Salaam. Chama cha Mawakili wa Serikali (PBA) kimetoa wito kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kuzingatia maadili ya taaluma ya sheria na misingi ya ueledi katika kushughulikia changamoto zinazowakabili wanachama wake. Hii ni kufuatia tamko la TLS linalowataka wanachama wake kusitisha kushiriki katika utoaji wa msaada wa kisheria, kama njia ya kushinikiza hatua…

Read More

Mgombea ubunge aonya uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi

Mbeya. Mgombea ubunge wa viti maalumu Mkoa wa Mbeya, Suma Fyandomo amewataka wananchi kutokubali kurubuniwa kuingia kwenye vurugu za uvunjifu wa amani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Fyandomo ametoa kauli hiyo leo Jumanne Septemba 23, 2025 kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za kumnadi mgombea urais, wabunge na madiwani uliofanyika katika Mtaa wa…

Read More

Waislam wa Ahmadiyya kuliombea Taifa amani

Dar es Salaam. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imesema itafanya mkutano mkuu wenye lengo la kuchochea upendo miongoni mwa waumini na kuongeza huruma, unyenyekevu baina yao. Mkutano huo wa 54 wa mwaka (Jalsa Salana) utafanyika Septemba 26 hadi 28, 2025 katika viwanja vyao vilivyopo Kitonga, Kata ya Msongola, Manispaa ya Ilala, jijini Dar es…

Read More