Mgombea ubunge aahidi benki ya wafugaji Ngorongoro

Ngorongoro. Mgombea ubunge wa Jimbo la Ngorongoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yannick Ndoinyo, ameahidi kuanzisha benki ya wafugaji endapo atachaguliwa, ili kuwawezesha wakazi wa eneo hilo hasa wafugaji kupata huduma za kifedha kwa urahisi, ikiwemo mikopo yenye masharti nafuu. Mbali na hilo pia ameahidi kuanzisha kiwanda cha kusindika nyama ili wafugaji hao waweze kunufaika…

Read More

Mwalimu aahidi kujenga Kariakoo ndogo Nkasi

Nkasi. Ili kukuza uchumi wa wananchi wanaoishi maeneo ya mipakani na kuimarisha fursa za kibiashara kati ya Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeahidi kuanzisha soko la biashara la ‘Kariakoo ndogo’ katika Kijiji cha Kirando, wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa endapo kitachaguliwa kuunda Serikali Jumatano ya Oktoba…

Read More

Simulizi ya mjane aliyetupiwa vitu nje Mikocheni

Dar es Salaam. “Kama shida ilikuwa hela, angesema marehemu mume wangu hakumlipa mimi ningejua namlipaje, lakini si kudai nyumba ni yake.” Ni kauli ya Alice Haule, mjane aliyefukuzwa kwenye nyumba anayodai ni yake iliyoko Mikocheni, Dar es Salaam, huku vitu vikitolewa nje. Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano maalumu akiwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala,…

Read More

Minja kukabili uhaba wa dawa akikinadi Chaumma Jimbo la Hai

Hai. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devota Minja ameahidi chama chake kitatua changamoto ya upatikanaji wa dawa katika hospitali na vituo vya afya nchini, ikiwamo katika Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, kama kitapatiwa ridhaa ya kuongoza nchi. Akizungumza leo Jumanne Septemba 23, 2025  na wakazi wa Bomang’ombe katika mkutano…

Read More

Madaktari bingwa waweka kambi Maswa

Maswa. Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando jijini Mwanza, wameweka kambi ya siku saba katika Hospitali ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi wa maeneo hayo. Wananchi waliofika kupata huduma wamesema uwepo wa madaktari hao utawapunguzia gharama za kusafiri kwenda hospitali…

Read More