Maximo achekelea kupewa mechi ngumu

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema uwepo wa timu hiyo katika michuano ya Kombe la Kagame 2025 itakuwa chachu katika kufanya maandalizi bora ya msimu 2025/26 kutokana na kukutana na timu ngumu zinazoshiriki michuano ya kimataifa. KMC na Singida Black Stars zimepata nafasi ya kushiriki michuano hiyo baada ya Simba na Yanga kujiengua kutokana…

Read More

Shambulio la Israel laua 17 Palestina

Gaza. Mashambulizi ya Jeshi la Israel yameua Wapalestina 17, wakiwemo watu sita waliokuwa wanakitafuta misaada, huku Israel ikieleza kuwa mashambulizi hayo yalilenga kundi la Hamas na waliofariki ilikuwa ni kwa sababu zingine. Al Jazeera imeripoti kuwa, Israel ilitumia  vifaru  kulipua magari yaliyokuwa katika kitongoji cha Sheikh Radawan usiku wa kuamkia leo pia ilifanya mashambulizi ya…

Read More

Buzungu mbioni kurejea Mtibwa Sugar

KIUNGO wa Kagera Sugar, Omary Buzungu ameuomba uongozi wa timu hiyo umruhusu arejee Mtibwa Sugar baada ya kikosi cha ‘Wanankurukumbi’ kushuka daraja ikiwa ni miezi sita  tangu nyota huyo alipojiunga nacho wakati wa dirisha dogo la Januari, mwaka huu. Nyota huyo alijiunga na Kagera Sugar katika dirisha dogo la Januari 2025 akiwa ni pendekezo la…

Read More

Ngecha apigiwa hesabu Dodoma | Mwanaspoti

UONGOZI wa Dodoma Jiji uko katika mazungumzo kumrejesha beki wake wa kati wa zamani, Ibrahim Ngecha baada ya Vedastus Masinde wa TMA ya Arusha aliyehitajika mwanzoni kudaiwa anakaribia kujiunga na kikosi cha Simba. Masinde ni miongoni mwa mabeki waliohitajika na timu mbalimbali zikiwemo Singida Black na Dodoma Jiji, lakini inaelezwa yupo hatua za mwisho kwenda…

Read More

DAWASA yadhibiti mivujo ya maji Bagamoyo

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kupitia Mkoa wa Kihuduma Chalinze imedhibiti mivujo ya maji katika maeo ya Kiwangwa, Mwavi na Mwetemo wilayani Bagamoyo. Akizungumzia kazi hiyo, Kaimu Meneja wa Mkoa wa Kihuduma Chalinze, Mhandisi Hafidhi Mketo amesema udhibiti huo umefanyika katika mabomba ya nchi 3′, 2′ na moja 1…

Read More

Maporomoko yaua 1,000, mmoja anusurika Sudan

Watu 1,000 wamefariki dunia huku mmoja akiokolewa kufuatia maporomoko ya ardhi yaliotokea  katika eneo la Darfur nchini Sudan. Maafa hayo yanatokea  wakati Taifa hilo lkingia mwaka wa tatu wa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yaliopekekea vifo vya maelfu ya watu  na hali ngumu ya maisha na ukosefu wa usalama. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…

Read More

Tuwajenge watoto kupenda elimu tangu utotoni

Dar es Salaam. Katika jamii yoyote ile elimu ni silaha muhimu ya kuleta mabadiliko ya kweli. Kupitia elimu, mtu anaweza kufikia ndoto zake, kuibadilisha familia yake, na hata kulibadili taifa zima. Hali hii inaleta umuhimu wa kumjenga mtoto kupenda elimu tangu akiwa mdogo. Ni jambo lisilopingika kwamba mapenzi ya elimu hayaanzi tu ghafla mtoto anapofikia…

Read More

TBS na udhibiti wa bidhaa hafifu

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wazalishaji, wasambazaji, wafanyabiashara na waingizaji wa bidhaa nchini kuhakikisha bidhaa wanazozalisha au kuuza zinakidhi matakwa ya viwango na ubora ili kulinda afya za wananchi na kutimiza azma ya Serikali ya kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa bora sokoni. Akizungumza leo Septemba 1, 2025 na waandishi wa…

Read More