Kamwe amjibu Fadlu, awataja Pacome, Nzengeli

Ulisikia kocha wa Simba, Fadlu Davids akidai kwamba kikosi chake kinakosa mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kuamua mechi akitumia neno X- factor? Basi Yanga imemjibu. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amemjibu Fadlu kiaina akisema timu yao wala haina shida na wachezaji wenye ubora huo. Kamwe amesema Yanga ina wachezaji wengi wenye…

Read More

Simba kuwatangaza Nangu, Yakoub | Mwanaspoti

WACHEZAJI wapya wa Simba, kipa Yakoub Suleiman na beki wa kati Wilson Nangu tayari wamepigwa picha zitakazotumika kuwatangaza kuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao. Chanzo cha uhakika cha Mwanaspoti kimesema baada ya Simba kukamilisha kila kitu kwa ajili ya usajili wa wachezaji hao, leo Jumanne wamepigwa picha kabla ya kujiunga na timu ya…

Read More

Upatu wa kinamama wasaidia kupata majiko ya nishati safi

Mwanza. Baadhi ya kinamama mkoani Mwanza wameamua kushirikiana kupitia michezo ya upatu ili kumudu gharama za majiko ya nishati safi, baada ya kutambua madhara ya kutumia kuni na mkaa. Kwa muda mrefu, maisha ya kinamama wa Mwanza, hasa wajasiriamali wanaokaanga na kuuza samaki, yamekuwa yakitegemea kuni na mkaa. Hali hiyo si tu imekuwa ikiathiri macho…

Read More

Maximo achekelea kupewa mechi ngumu

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema uwepo wa timu hiyo katika michuano ya Kombe la Kagame 2025 itakuwa chachu katika kufanya maandalizi bora ya msimu 2025/26 kutokana na kukutana na timu ngumu zinazoshiriki michuano ya kimataifa. KMC na Singida Black Stars zimepata nafasi ya kushiriki michuano hiyo baada ya Simba na Yanga kujiengua kutokana…

Read More

Shambulio la Israel laua 17 Palestina

Gaza. Mashambulizi ya Jeshi la Israel yameua Wapalestina 17, wakiwemo watu sita waliokuwa wanakitafuta misaada, huku Israel ikieleza kuwa mashambulizi hayo yalilenga kundi la Hamas na waliofariki ilikuwa ni kwa sababu zingine. Al Jazeera imeripoti kuwa, Israel ilitumia  vifaru  kulipua magari yaliyokuwa katika kitongoji cha Sheikh Radawan usiku wa kuamkia leo pia ilifanya mashambulizi ya…

Read More

Buzungu mbioni kurejea Mtibwa Sugar

KIUNGO wa Kagera Sugar, Omary Buzungu ameuomba uongozi wa timu hiyo umruhusu arejee Mtibwa Sugar baada ya kikosi cha ‘Wanankurukumbi’ kushuka daraja ikiwa ni miezi sita  tangu nyota huyo alipojiunga nacho wakati wa dirisha dogo la Januari, mwaka huu. Nyota huyo alijiunga na Kagera Sugar katika dirisha dogo la Januari 2025 akiwa ni pendekezo la…

Read More

Ngecha apigiwa hesabu Dodoma | Mwanaspoti

UONGOZI wa Dodoma Jiji uko katika mazungumzo kumrejesha beki wake wa kati wa zamani, Ibrahim Ngecha baada ya Vedastus Masinde wa TMA ya Arusha aliyehitajika mwanzoni kudaiwa anakaribia kujiunga na kikosi cha Simba. Masinde ni miongoni mwa mabeki waliohitajika na timu mbalimbali zikiwemo Singida Black na Dodoma Jiji, lakini inaelezwa yupo hatua za mwisho kwenda…

Read More