Zitto aahidi kuanza na barabara, Kata ya Businde
Kigoma. Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini, kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema akishinda ubunge na wananchi wakampa madiwani wa chama hicho wataifungua Kata ya Businde kwa kuboresha miundombinu ya barabara. Akizungumza leo Jumanne, Septemba 23,2025 katika mkutano wa kampeni uliyofanyika Kata ya Businde, Zitto amesema kutokana na ubovu wa barabara ya kata hiyo wananchi…