Zitto aahidi kuanza na barabara, Kata ya Businde

Kigoma. Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini, kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema akishinda ubunge na wananchi wakampa madiwani wa chama hicho wataifungua Kata ya Businde kwa kuboresha miundombinu ya barabara. Akizungumza leo Jumanne, Septemba 23,2025 katika mkutano wa kampeni uliyofanyika Kata ya Businde, Zitto amesema kutokana na ubovu wa barabara ya kata hiyo wananchi…

Read More

Othman aahidi kukomesha mikopo kausha damu kwa walimu Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema kuwa endapo atachaguliwa kuongoza dola ataanzisha mfuko maalumu wa maisha ya mwalimu, ili kuwaondolea  utegemezi wa mikopo yenye masharti magumu na isiyokuwa na tija kwa maisha yao. Othman ambaye ni Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, amesema hayo leo Jumanne Septemba 23,2025 katika mkutano wake wa hadhara…

Read More

Kero ya maji kwa siku saba yamuibua RC Mtanda

Mwanza. Kwa zaidi ya wiki moja sasa wakazi wa baadhi ya maeneo ya Jiji la Mwanza wamekosa huduma ya maji baada ya pampu na vifaa vya kusambazia maji katika chanzo cha Butimba kuungua kutokana na hitilafu ya umeme. Changamoto hiyo imeathiri upatikanaji wa maji katika maeneo mbalimbali ikiwamo Mkuyuni, Buhongwa na Mkolani. Wakazi wa maeneo…

Read More

DC Nyamwese aanika fursa za uwekezaji Handeni

Na Augusta Njoji, Handeni TC MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, ametoa rai kwa sekta binafsi kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji katika sekta mbalimbali, ikiwamo viwanda vya kuchakata machungwa, ili kuchochea maendeleo ya wilaya hiyo. Akifungua kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya kilichofanyika mjini Handeni Septemba 23, 2025, Nyamwese ambaye pia…

Read More

TET, Aga Khan wawekeza katika elimu bora nchini

Dar es Salaam. Wataalamu 29 wa ukuzaji mitaala kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) wamehitimu mafunzo maalumu ya miezi mitatu yaliyoratibiwa na Aga Khan Education Services Tanzania. Lengo la mafunzo hayo ni kuboresha utoaji wa elimu shuleni na kuwawezesha wanafunzi kuchagua masomo yanayoendana na vipaji na uwezo wao binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika kwa njia ya…

Read More

Devotha Minja: Chaumma italeta unafuu wa maisha kwa Watanzania

Arusha/Katavi. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema anasikitishwa na ugumu wa maisha unaowakabili Watanzania ilhali Taifa limebarikiwa rasilimali nyingi. Akihutubia wananchi wa USA River kwenye mkutano wa kampeni sambamba na kukiombea kura chama chake leo Jumatatu Septemba 22, 2025 Jimbo la Arumeru Mashariki, Minja amesema haiwezekani wananchi…

Read More