DK.SAMIA:TUNAKATA USHINDI WA HESHIMA WA KUWAFUNGA MIDOMO WALE WENGINE
*Yamefanyika mengi miaka mitano iliyopita na tutafanya mengi zaidi Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mtwara MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga kusaka kura za urais katika Uchaguzi mkuu mwaka huu ambapo leo Septemba 23,2025 amepokelewa na maelfu ya wananchi Wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara akitokea mkoani Ruvuma. Dk.Samia Suluhu…