
WAMILIKI WA SILAHA WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA ZAO
………. JESHI la Polisi limewataka watu wote wanaomiliki silaha haramu kinyume na sheria kuzisalimisha kwa hiyari kunzia Sepetemba 01, hadi Oktoba 31, mwaka huu ambao ndiyo muda wa msamaha ulitolewa na Serikali. Msemaji Mkuu wa Jeshi hilo David Misime, alisema hayo leo jijini Dodoma, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu msamaha wa kutoshitakiwa kwa…