Devota Minja: Chaumma italeta unafuu wa maisha kwa Watanzania

Arusha/Katavi. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devota Minja amesema anasikitishwa na ugumu wa maisha unaowakabili Watanzania ilhali Taifa limebarikiwa rasilimali nyingi. Akihutubia wananchi wa USA River kwenye mkutano wa kampeni sambamba na kukiombea kura chama chake leo Jumatatu Septemba 22, 2025 Jimbo la Arumeru Mashariki, Minja amesema haiwezekani wananchi…

Read More

Wanahabari watakiwa kutumia kalamu zao kuunganisha jamii

Dar es Salaam. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imewataka waandishi wa habari nchini kujikita katika kuimarisha amani, utulivu na demokrasia kupitia kalamu zao ili taifa lipite kipindi hiki cha uchaguzi likiwa na amani. Wito huo umetolewa jana Septemba 22, 2025 na Katibu Mtendaji wa THBUB, Patience Ntwina wakati wa mafunzo maalumu…

Read More

Wachimbaji wadogo walivyozalisha dhahabu ya Sh3.4 trilioni

Geita. Serikali imesema sekta ya madini imechangia zaidi ya ajira 35,000 kwa vijana na wanawake huku kilo 22,000 za dhahabu yenye thamani ya zaidi ya Sh3.4 trilioni ikizalishwa na wachimbaji wadogo katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Uzalishaji huo umechochewa kupitia fursa za maonyesho ya teknolojia ya madini yanayofanyika kila mwaka mkoani Geita. Katika kipindi…

Read More

AKU yaikosha Lindi mafunzo ya ualimu

Dar es Salaam. Uongozi wa Mkoa wa Lindi umesema mradi wa kuwafundisha wakufunzi umesaidia kuwajengea uwezo watendaji kuanzia ngazi elimu, kata, shule hadi halmashauri za mkoa huo. Mradi huo unaoitwa ‘Foundations for Learning’ ulikuwa unatekelezwa na Taasisi ya Maendeleo ya Elimu ya Chuo Kikuu cha Aga Khan, Afrika Mashariki (IED, EA) kuanzia mwaka 2022 hadi…

Read More

NISHATI SAFI INATEKELEZWA KWA VITENDO GEITA

::::::::::: Wananchi wakiwa katika banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili kununua majiko ya gesi na majiko banifu kwa bei ya ruzuku katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita.  Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa.  

Read More

DK.SAMIA ATOA HOFU WAKULIMA BEI YA MBAAZI NA UFUTA, WANYAMA WAHARIBIFU TUNDURU

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Tunduru MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wakulima wa mbaazi na ufuta katika wilayani Tunduru mkoani Ruvuma kwamba Serikali inaendelea na mazungumzo na Serikali ya India kwa ajili ya kuuza mazao hayo. Akihutubia wananchi wa Kijiji cha Nakapanya wilayani Tunduru mkoani Ruvuma leo Septemba…

Read More