Namungo, City FC Abuja hakuna mbabe

MCHEZO wa Kundi C katika michuano ya Tanzanite Pre-Season International baina ya Namungo ya Tanzania Bara na City FC Abuja kutoka Nigeria, umemalizika kwa sare ya bao 1-1. Mshambuliaji wa Namungo, Heritier Makambo alifunga bao la mapema dakika ya tatu kwa ustadi mkubwa kufuatia pasi ya Abdulaziz Shahame. Bao hilo liliwafanya wachezaji wa Namungo kucheza…

Read More

Ahadi hewa safari za Mwendokasi Mbagala zaibua mjadala

Dar es Salaam. Baada ya huduma ya mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) katika barabara ya Mbagala kukwama kuanza leo kama ilivyoahidiwa awali na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), wachumi na wadau mbalimbali wamejitokeza kutoa malalamiko pamoja na ushauri wa nini kifanyike ili huduma hiyo ianze kutekelezwa. Akieleza sababu ya kushindwa kutimiza ahadi hiyo, alipozungumza na…

Read More

JKU yaiadhibu TDS, Hamza aking’ara

JKU ya Zanzibar imeanza vizuri mashindano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0. Mchezo huo wa Kundi C uliochezwa leo Septemba Mosi, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, mshambuliaji wa JKU, Koffy Hamza ndiye aliyepeleka kilio kwa TDS. Hamza alianza kuifungia JKU dakika ya tano kufuatia…

Read More

Wanawake waongoza mikopo kidijitali | Mwananchi

Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza nchini, wanawake wanamiliki akaunti za mikopo ya kidijitali nyingi zaidi kuliko wanaume, jambo linalowafanya kuwa wakopaji wakuu katika sekta ya teknolojia ya fedha inayokua kwa kasi. Takwimu mpya kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Ofisi za Taarifa za Wakopaji (Credit Reference Bureaus) zinaonesha idadi ya akaunti za…

Read More

Dk Nchimbi awaahidi makubwa Simiyu, wananchi wataka utekelezaji

Busega. Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi wana Busega, mkoani Simiyu miradi mbalimbali, wananchi nao wamekitaka chama hicho kuzitekeleza kwa vitendo. Wamesema kuahidi ni jambo moja na kuzitekeleza ni suala jingine, hivyo mgombea Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wanapaswa kuhakikisha ahadi hizo zinatekelezwa ndani ya miaka…

Read More

Ismail Mgunda hana presha Mashujaa

BAADA ya mshambuliaji wa Mashujaa, Ismail Mgunda kurejea kucheza Ligi Kuu Bara amesema anatamani kutajwa katika orodha ya wafungaji wenye mabao mengi msimu unaoanza Septemba 17. Mgunda katikati ya msimu uliyopita aliondoka Mashujaa akiwa amefunga mabao mawili kwenda kujiunga na AS Vita ya DR Congo ambako hata hivyo hakufanikiwa kutimiza ndoto kwa kile alichokitaja ni…

Read More

Daraja jipya laibua kicheko kwa wasafiri, madereva

Kibaha. Wananchi, madereva na wasafirishaji waliokuwa wakikumbwa na changamoto kubwa ya usafiri kila msimu wa mvua eneo la bonde la maji, Ruvu, Kibaha mkoani Pwani, sasa wamefurahi baada ya kukamilika kwa ujenzi wa daraja jipya la mita tano lenye thamani ya Sh1.5 bilioni. Kwa miaka mingi, eneo hilo lilikuwa kikwazo kikubwa kwa usafiri, kwa sababu…

Read More