Makocha wazawa waichunia Simba | Mwanaspoti
Wakati uongozi wa Simba ukianza kupokea maombi na wasifu wa makocha mbalimbali kwa ajili ya kumrithi Kocha Mkuu, Fadlu Davids aliyeamua kutimkia Raja Casablanca, hadi sasa hakuna kocha mzawa aliyeomba nafasi hiyo. Hilo linatokea huku kocha huyo akiiaga klabu hiyo huku akijiunga na rasmi na Raja Casablanca ya Morocco. Tangu juzi mara baada ya kuwepo…