Mwili wakutwa kwenye bwawa Kahama

Kahama.  Mwanamume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake amekutwa amefariki dunia kwenye bwawa la maji lililopo Kata ya Nyihogo, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji  Wilaya ya Kahama,  Stanley Luhwago akizungumza leo Septemba mosi, 2025, amesema tukio hilo limetokea Agosti 31, 2025. Amesema walipokea taarifa kutoka kwa wananchi waliouona…

Read More

MAAFISA MIPANGOMIJI WAFUNDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga kutekeleza majukumu yao kwa weledi. Kikao hicho cha siku tatu kinachofanyika mkoani Arusha kuanzia Sept…

Read More

Halmashauri Kibondo yatoa neno video ya muuguzi kuondolewa wodini kwa nguvu

Kigoma. Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo umefafanua kuhsu video iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha muuguzi wa hospitali ya wilaya hiyo akitolewa kwa nguvu na mlinzi wa Suma JKT ndani ya wodi ya wajawazito, hali iliyosababisha sintofahamu miongoni mwa wananchi na wagonjwa waliokuwa wodini. Video hiyo, iliyoanza kusambaa usiku wa kuamkia Agosti 31, 2025, ilimuonesha mhudumu…

Read More

EQUITY YAWEKEZA KATIKA ELIMU YA MAWAKALA

Benki ya Equity imesema zaidi ya asilimia 80 ya miamala yake inafanyika kidigitali, hatua inayodhihirisha kasi ya ukuaji wa teknolojia katika sekta ya fedha,huduma hizo zinajumuisha mfumo wa uwakala ambao umeendelea kuwa njia kuu ya kuwafikishia wananchi huduma za kibenki bila kulazimika kufika kwenye matawi ya benki. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika Jukwaa la…

Read More