Jalada kesi ya bosi wa Jatu, linapitiwa na kusomwa upya

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa jalada la kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu  wa Kampuni ya Jatu  PLC, Peter Gasaya (33), linapitiwa na kusomwa na timu kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka( NPS), makao makuu Dodoma. Baada ya kupitiwa na kusomwa upya kwa jalada hilo, timu hiyo italitolea…

Read More

Cheza Aviator na Ujishindie Samsung A25 na Meridianbet

MABINGWA wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, wameleta furaha kubwa kwa wateja wao. Kupitia mchezo maarufu wa kindege cha Aviator, sasa unaweza kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 huku ukiendelea kuingiza faida ya pesa. Hii si promosheni tu, bali ni fursa ya kipekee ya kuongeza msisimko wakati wa kucheza. Mchezo wa…

Read More

Chaumma yazidi kuchanja mbuga yaingia Kilimanjaro

Kilimanjaro. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, ameendelea na kampeni zake baada ya kuhitimisha ziara ya siku tatu mkoani Tanga na apiga hodi Kilimanjaro, akilenga kuwashawishi wapigakura milioni 37.6 waliojiandikisha kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Katika uchaguzi huo unaosimamiwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi…

Read More