Matola afichua ugumu wa kuikabili Namungo
LICHA ya Simba kutopoteza mechi yoyote ya Ligi Kuu Bara mbele ya Namungo, lakini Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema hawatarajii kuwa na mechi nyepesi kutokana na aina ya timu wanayokwenda kukutana nayo ikiwa na kocha Juma Mgunda anayeifahamu Simba. Matola ambaye amekabidhiwa jukumu la kukiongoza kikosi cha Simba baada ya kuondoka kwa Fadlu Davids, amesema…