Matola afichua ugumu wa kuikabili Namungo

LICHA ya Simba kutopoteza mechi yoyote ya Ligi Kuu Bara mbele ya Namungo, lakini Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema hawatarajii kuwa na mechi nyepesi kutokana na aina ya timu wanayokwenda kukutana nayo ikiwa na kocha Juma Mgunda anayeifahamu Simba. Matola ambaye amekabidhiwa jukumu la kukiongoza kikosi cha Simba baada ya kuondoka kwa Fadlu Davids, amesema…

Read More

Vitisho vya upimaji wa nyuklia vinarudi na kusasisha kunakua zaidi, anaonya mkuu wa UN – maswala ya ulimwengu

Mtihani wa nyuklia unafanywa kwenye kisiwa huko Polynesia ya Ufaransa mnamo 1971. Mkopo: Shirika la Mkataba wa Mtihani wa Nyuklia-Mtihani (CTBTO) na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Septemba 30, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Septemba 30 (IPS) – Je! Utawala wa Trump hautabiriki na wazo la kuanza tena majaribio ya…

Read More

Mtoto wa miaka mitatu adaiwa kuuawa kwa kipigo Kahama

Shinyanga. Mtoto Sofia Ndoni (3) amefariki dunia kwa madai ya kushambuliwa kwa kipigo sehemu mbalimbali za mwili wake na kisha kukabwa shingo na bibi yake Christina Kishiwa aliyekuwa akiishi naye Mtaa wa Nyakato, Kata ya Nyasubi Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Mtoto Sofia enzi za uhai wake alikuwa akiishi na mtuhumiwa ambaye ni mama mdogo…

Read More

Waziri wa DPR Korea – Maswala ya Ulimwenguni

Kim Son Gyong alianza hotuba yake kwa kupongeza anwani ya ufunguzi wa UN Katibu Mkuu António Guterres Mnamo tarehe 23 Septemba ambapo alisema kuwa hakuna serikali inayoweza kushughulikia maswala ya ulimwengu peke yake na kuahidi mageuzi ya UN. Wakati Bwana Kim alitambua jukumu la UN katika kukuza ushirikiano wa kimataifa kushughulikia umaskini, magonjwa na maendeleo…

Read More

MAMBO 20 NILIYOYAONA KWA DK.SAMIA TUKIJIANDAA KWENDA KUTIKI OKTOBA 29

Na Said Mwishehe, Michuzi TV 01:KAMPENI zinaendelea kushika kazi na mgombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan anaendelea kuchanja mbuga,ameshakwenda mikoa karibia 16 mpaka sasa. 02:Tayari ameshapita katika mikoa ya Dar es Salaam ,Morogoro, Dodoma,Songwe,Mbeya,Njombe,Iringa, Singida,Tabora,Kigoma,Zanzibar,Ruvuma,Lindi,Mtwara,Pwani ,Tanga na leo Kilimanjaro. 03:Kote ambako mgombea Urais amefanya mikutano mikubwa na midogo,amefanya mikutano ya…

Read More

Ripoti yaitaja Zanzibar kinara KKK, lugha na Tehama

Zanzibar, kwa sasa, imekuwa kinara wa maendeleo katika sekta ya elimu, ikiongoza kwa kiwango cha kusoma na kuandika (KKK), matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama), na ujuzi wa lugha. Hali hii, inayoweka visiwa hivyo mbele ya baadhi ya maeneo ya bara la Afrika, inatokana na juhudi za makusudi za Serikali na wadau mbalimbali…

Read More

Haya yatamuepusha mtoto kuzaliwa na maradhi ya moyo

Mwanza/Dar. Wakati takwimu zikionesha kuwa idadi ya watoto wanaozaliwa na magonjwa ya moyo ikiongezeka, watalaamu wa afya wametoa angalizo kwa wajawazito kuhakikisha wanapata virutubisho, kuepuka matumizi ya pombe na sigara kwa kuwa ndio vyanzo vikuu vinavyochangia maradhi hayo kwa watoto. Takwimu za kitaifa zinaonesha kuwa katika kila watoto 100 wanaozaliwa, wawili huwa na tatizo la…

Read More