Kauli Wanazopenda Wanaume Kuzisikia Kwa Wenza Wao, Zipo Hapa – Global Publishers

HAKUNA kitu kizuri kwenye uhusiano kama kujua mwenzako anapenda nini. Unapomjua mwenzako anachokipenda, itakusaidia katika suala zima la kudumisha uhusiano. Ukimfanyia yale anayoyapenda, sio kwamba atafurahi tu bali unamtengenezea kumbukumbu nzuri.  Unatengeneza sifa njema kwa mwenzi wako. Anakuona umuhimu wako, anatambua utu wako na kukupa thamani ya kuwa mwenzi wake wa maisha. Ule ubinadamu au mambo…

Read More

NI ZAMU YA SONGWE KESHO SEPTEMBA 3, MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA KUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe NI zamu ya Songwe kesho Septemba 3,hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea kwani mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mikutano mikubwa ya kampeni mkoani Songwe. Msafara wa Rais Dk. Samia unatarajiwa kuwasili leo kisha kuhutubia maelfu ya wananchi wa katika mikutano yake ya kampeni itakayofanyika…

Read More

Uzinduzi Mabasi ya Mwendokasi Mbagala Wasogezwa Mbele – Global Publishers

DAR-Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka (Mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza Septemba 1, 2025 imesogezwa mbele kutokana na kutokamilika kwa miundombinu muhimu ikiwamo mageti janja na kituo cha kujazia gesi. Akizungumzia kuhusu kutokamilika kwa miundombinu hiyo, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart),Dkt. Athuman Kihamia amesema, kuchelewa…

Read More

Bado Watatu – 16 | Mwanaspoti

“Sijambo. Karibu” Msichana akanijibu huku akinitazama kwa macho ya udadisi. “Sijui kama unanikumbuka?” “Nakukumbuka, ulikuja juzi kumuulizia mtu fulani , nikakwambia hatumfahamu” “Sasa nimekuja tena kwa tatizo hilo hilo. Nakumbuka uliniambia kwamba nyinyi ni wapangaji, sasa nilikuwa namhitaji mwenye nyumba hii” “Nakumbuka nilikwambia mwenye nyumba haishi hapa, anaishi Iringa” “Nipatie hata namba yake” “Anayo mume…

Read More

Straika Singida BS kubaki Pamba Jiji

BAADA ya mshambuliaji wa Singida Black Stars, Abdoulaye Yonta Camara, raia wa Guinea kukitumikia kikosi cha Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita kwa msimu wa 2024-2025, mabosi wa timu hiyo wanafanya mazungumzo ya kuendelea kubaki naye. Camara alijiunga na Singida Agosti 14, 2024, ingawa sababu za kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara ziliwafanya…

Read More

Fadlu awatega mastaa Simba | Mwanaspoti

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids mjanja sana baada ya kupata uhakika ukuta wa timu hiyo umeimarika zaidi kwa kutua beki wa kati mwingine mpya, Wilson Nangu na kipa wa Taifa Stars, Yakoub Suleiman ametoa kauli inayoonekana kama mtego kwa mastaa. Kocha huyo amesema anawasubiri wachezaji hao kambini waungane na timu ili ajue namna ya kuwatumia,…

Read More

Chikola ajishtukia mapema Yanga | Mwanaspoti

YANGA inaendelea kujifua kwenye kambi yao iliyopo Avic Town, Kigamboni chini ya kocha Romain Folz, lakini kuna winga mmoja mpya aliyetua klabuni hapo hivi karibuni amejishtukia baada ya kukiangalia kikosi hicho na fasta akaamua kujiongeza mwenyewe ili mambo yawe mepesi. Nyota huyo ni kiungo mshambuliaji aliyetua Jangwani kutoka Tabora United, Offen Chikola amesema kwa namna…

Read More