DCMA, OlimpAfrica wafanya tamasha la muziki Zanzibar

CHUO cha Muziki (DCMA) kwa kushirikiana na Kituo cha OlimpAfrica, wamefanya tamasha la muziki lililopewa jina la Tutambue lililofanyika Dole, Wilaya ya Magharibi A, Mkoa wa Mjini Magharibi. Katika tamasha hilo, Mkurugenzi wa Sanaa kutoka DCMA, Tryphone Evarist ametoa wito kwa wananchi kuacha kuamini kuwa muziki ni kazi isiyokuwa na maadili, huku akisisitiza kwamba hiyo ni…

Read More

Rais Mwinyi kununua bao la Mlandege, KMKM Sh5 milioni

KATIKA kutoa hamasa kwa timu za Zanzibar zinazoshiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema atanunua kila bao litakalofungwa na timu hizo kwa Sh5 milioni. Hayo yameelezwa jana Septemba 21, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Fatma Hamad…

Read More

Polisi, TLS ngoma bado, Mwabukusi atoa angalizo

Dar es Salaam. Mvutano baina ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), umeendelea kuchukua sura mpya na sasa askari wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, wamezingira ofisi za chama hicho zilizopo Mikocheni, Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Rais wa TLS, Boniface Mwabukusi imeeleza makao makuu yake yamezingirwa na askari tangu asubuhi ya…

Read More

Jinsi unyanyapaa unadhoofisha utumiaji wa uzazi wa mpango kati ya wanawake nchini Sierra Leone – Maswala ya Ulimwenguni

Marie Kamara anasema juu ya athari za unyanyapaa kwa wanawake, haswa watu wenye ulemavu, wanapojaribu kupata uzazi wa mpango. Mikopo: Madina Kula Sheriff/IPS na Madina Kula Sheriff (Freetown) Jumatatu, Septemba 22, 2025 Huduma ya waandishi wa habari FREETOWN, Septemba 22 (IPS) – Eunice Dumbuya, mwanaharakati mchanga huko Freetown, Sierra Leone, bado anakumbuka akiitwa ujinga baada…

Read More