LEO NI MAADHIMISHO YA SIKU YA FARU DUNIANI

 Picha za Matukio mbalimbali ya Maadhimisho ya siku Faru Duniani ambapo leo tarehe 22 Septemba 2025, Maafisa na Askari wa Hifadhi ya Ngorongoro kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Karatu, wadau wa Uhifadhi na Utalii na Wananchi wameungana katika Mbio za kilomita 5 katika mji wa Karatu zenye lengo la kuhamasisha shughuli za uhifadhi wa…

Read More

Bado Watatu – 36

Insekta Amour akaniambia: “Kitendo chako cha kuuhifadhi ule mwili kwa siku mbili na kisha kwenda kuutupa makaburini kinaonyesha kuwa wewe ndiye uliyemuua Shefa; sasa ulifanya hivyo ili kupoteza ushahidi.”

Read More

Ahmed Ally awatuliza presha mashabiki Simba

Baada ya kusambaa kwa taarifa zinazomuhusu kocha wa Simba, Fadlu Davis kuondoka klabuni hapo pamoja na benchi lake la ufundi akisalia Kocha Msaidizi pekee, Selemani matola, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Ahmed Ally amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuwa na subira. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ahmed Ally amechapisha ujumbe huo huku…

Read More

INEC YATOA ANGALIZO KWA CHAMA CHA ACT

Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiwa  na Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej. Wawili hao walikua wapeperushe bendera ya chama cha ACT WAZALENDO kabla ya kuwekewa pingamizi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kuenguliwa katika mbio za kuwania kiti cha Rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Read More

Mechi ya kisasi ipo Mkwakwani

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo kwa mechi moja kupigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga kuanzia saa 1:00 usiku na wenyeji Coastal Union iliyoanza na ushindi dhidi ya Tanzania Prisons, itakuwa na vita kali na maafande wengine wa JKT Tanzania walioanza kwa sare ya 1-1. Coastal ilianza Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa bao…

Read More

Kitambi ashusha presha Fountain Gate

BAADA ya Denis Kitambi kutangazwa kukiongoza kikosi cha Fountain Gate, kocha huyo amesema kuanza vibaya msimu mpya wa 2025-2026, hakujawatoa katika malengo, licha ya kukiri pia ana kazi kubwa hususan ya kutengeneza muunganiko wa kikosi. Kocha huyo aliyezifundisha timu kadha ikiwamo Simba, Namungo, Geita Gold na Singida Black Stars, amezungumza hayo baada ya kuanza Ligi…

Read More

Malale apata kianzio Ligi Kuu Bara

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata Mbeya City dhidi ya Fountain Gate ikicheza ugenini, umempa pawa kocha wa timu hiyo, Malale Hamsini aliyesema amepata kianzio Ligi Kuu Bara inayoendelea kushika kasi ikiingia raundi ya pili kwa sasa. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu baada ya kupanda daraja ilipata ushindi huo kwa bao la penalti iliyopigwa na Habib…

Read More