UN Chief inasikika kengele juu ya shida inayozidi kuongezeka katika El Fasher ya Sudan – Maswala ya Ulimwenguni

El Fasher amekuwa chini ya kuzingirwa kwa nguvu na vikosi vya msaada wa haraka (RSF) kwa zaidi ya siku 500, na mashambulio dhidi ya raia kuongezeka katika wiki za hivi karibuni. Wakazi wengi katika kambi ya uhamishaji wa Abu Shouk walio karibu wameripotiwa kukimbia kufuatia Shelling na uvamizi. “Mapigano lazima yasimame sasa,” Katibu Mkuu António…

Read More

MASHIMBA AZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO KATA YA MABWEPANDE

Mgombea udiwani wa Kata ya Mabwepande kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Andrew Mashimba, leo amezindua rasmi kampeni zake kwa kufanya mkutano wa hadhara uliofanyika katika Mtaa wa Mabwepande. Katika mkutano huo, Mashimba alinadi sera na Ilani ya CCM, huku akieleza sababu zinazopaswa kuwashawishi wananchi wa Mabwepande kuendelea kuiamini CCM kuanzia ngazi ya urais, ubunge…

Read More

EY Tanzania Ripoti ya Sekta ndogo ya Benki nchini

Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof. Josephat Lotto akizindua Ripoti ya Sekta ndogo ya Benki “EY Tanzania Banking Sub-Sector Report 2024,” iliyoandaliwa na Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu ya EY Tanzania inayochambua utendaji wa benki nchini kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Ripoti hii pia inaangazia mabadiliko muhimu ya kisheria na kimkakati…

Read More

Heshima uliyonipa ni ya Wanaruvuma Wote – Global Publishers

  MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema katika mikoa 11 ambayo tayari amefanya mikutano ya kampeni wananchi wameshasema kwamba  watampigia kura za kishindo Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,2025. Dk.Nchimbi ameyasema hayo leo Septemba…

Read More