Halmashauri Kibondo yatoa neno video ya muuguzi kuondolewa wodini kwa nguvu

Kigoma. Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo umefafanua kuhsu video iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha muuguzi wa hospitali ya wilaya hiyo akitolewa kwa nguvu na mlinzi wa Suma JKT ndani ya wodi ya wajawazito, hali iliyosababisha sintofahamu miongoni mwa wananchi na wagonjwa waliokuwa wodini. Video hiyo, iliyoanza kusambaa usiku wa kuamkia Agosti 31, 2025, ilimuonesha mhudumu…

Read More

EQUITY YAWEKEZA KATIKA ELIMU YA MAWAKALA

Benki ya Equity imesema zaidi ya asilimia 80 ya miamala yake inafanyika kidigitali, hatua inayodhihirisha kasi ya ukuaji wa teknolojia katika sekta ya fedha,huduma hizo zinajumuisha mfumo wa uwakala ambao umeendelea kuwa njia kuu ya kuwafikishia wananchi huduma za kibenki bila kulazimika kufika kwenye matawi ya benki. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika Jukwaa la…

Read More

Serikali yakata mishahara ya wabunge kutuliza waandamanaji

Jakarta. Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, ametangaza kupunguza mishahara na baadhi ya marupurupu kwa wanasiasa wa taifa hilo, ikiwemo wabunge, ili kutuliza maandamano yanayoendelea nchini humo. Hatua hiyo inakuja kutokana na maandamano ya wiki kadhaa katika taifa hilo la Kusini-Mashariki mwa Asia, ukiwemo mji mkuu, Jakarta, ulioshuhudia mamia ya waandamanaji wanaoipinga serikali. Maandamano hayo yamesababisha…

Read More