
SMZ yaeleza mwelekeo wa nishati safi, wananchi bado wapo kiza kinene
Zanzibar. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikiweka nguvu katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, wadau wa sekta hiyo wameshauri kuongezwa jitihada zaidi ili wananchi wapate nishati mbadala kwa haraka, wepesi na gharama nafuu. Msingi wa ushauri huo unatokana na hali ya sasa ambapo wananchi wengi bado wanategemea kuni na mkaa wa…