UN Chief Hails ‘mfano wa kushangaza’ wa Papua New Guinea wakati anahitimisha safari ya kihistoria – maswala ya ulimwengu

Akiwa ameshikwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, James Marape, Bwana Guterres aliuliza Maoni Alifanya wakati wa hotuba katika Bunge la Kitaifa Jumatano, ambayo alielezea Papua New Guineans kama “Mabingwa wa Multilateralism na Suluhisho za Kimataifa.” Katibu Mkuu alibaini kuwa, katika ulimwengu ambao “tunaona maadili ya kidemokrasia yakihojiwa,” nchi-ambapo lugha 800 zinazungumzwa-inashikilia upendeleo wa kutatua…

Read More

Melo alaani ofisi za JamiiForums kuvamiwa, Msigwa amjibu asema…

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo amesema kuna uvamizi usio rafiki umefanyika katika ofisi zao zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam na amedai kuwa wavamizi walikuwa wakimtafuta yeye, huku Serikali ikisema haukuwa uvamizi bali ni utaratibu wa kawaida wa mawasiliano na anatakiwa kutoa ushirikiano na asizue taharuki katika jamii. Kupitia mtandao wake…

Read More

DKT JINGU AZINDUA KAMATI YA MAKAO YA TAIFA YA WATOTO KIKOMBO.

……………… Na WMJJWM-Dodoma. Serikali inaendelea kuweka mazingira mazuri na rafiki kwa ajili ya ustawi wa watoto nchini kupitia utekelezaji na uimarishaji wa afua mbalimbali hususan watoto waliotokea katika mazingira magumu. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu katika uzinduzi wa Kamati ya makao…

Read More

TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waumini wa dini ya kiislam alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika baraza la Maulid Kitaifa linalofanyika, Korogwe mkoani Tanga, Septemba 05, 2025. ……………………. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na viongozi wa Taifa hilo. Amesema…

Read More

Karia atangaza hali ya hatari kwa marefa Bara 

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia ametangaza hali ya hatari kwa waamuzi watakaochezesha Ligi msimu ujao. Akifunga semina ya waamuzi hao iliyokuwa ikifanyika makao makuu ya TFF, Karia amesema, msimu ujao utakuwa wa tofauti ambapo watahakikisha wanasimamia umakini. Karia, aliyeambatana na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), Nassoro Idrissa, amesema…

Read More

Amani uchaguzi mkuu yatawala Baraza la Maulid

Dar es Salaam/Tanga. Viongozi wa dini na Serikali wamewahimiza wananchi kudumisha amani na wajitokeze kwa wingi kupiga kura kuwachagua viongozi watakaowaletea maendeleo. Wito huo umetolewa na viongozi mbalimbali wa dini na Serikali wakati wa kuadhimisha Maulidi ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW), huku wakiwatakapia  kuepuka vitendo vya dhihaka dhidi ya viongozi. Kwa Tanzania Bara, Baraza…

Read More

Angalizo watumiaji mafuta ya kujikinga na miale ya jua

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya ya ngozi wametoa tahadhari kufuatia ongezeko la kasi la biashara ya bidhaa za kukinga miale ya jua, maarufu kama ‘sunscreen’, wakisisitiza kuwa kuna umuhimu wa ngozi kupata miale ya jua kwa kiwango cha kutosha kila siku. Biashara ya bidhaa hizo imeonekana kushamiri kwenye maduka ya vipodozi na mitandaoni ambapo…

Read More