NMB yatoa fursa ya mkopo hadi Sh500 bilioni kwa mteja mmoja

Dar es Salaam. Benki ya NMB imesema ina uwezo wa kumkopesha mteja mmoja zaidi ya Sh500 bilioni kwa ajili ya kuendeleza shughuli za biashara na uzalishaji ikiwamo kilimo, mifugo, viwanda na madini, kutokana na ukuaji wa mtaji wake. Mikopo hiyo inalenga kuwasaidia wateja kuongeza uzalishaji na hutolewa kupitia suluhu mbalimbali za kifedha kulingana na mahitaji…

Read More

ETDCO YAENDELEA KUTAFUTA FURSA JAPAN

Uongozi wa Kampuni ya ETDCO, Toyota Tsusho Corporation, Afisa kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Japani, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya miundombinu ya umeme. Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi za Toyota Tsusho Corporation, jijini Tokyo, Japan. Uongozi wa Kampuni ya ETDCO, Toyota Tsusho Corporation,…

Read More

Samia kufungua uchumi ukanda wa kusini

Ruvuma.  Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendeleza kasi ya utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo katika ukanda wa kusini mwa Tanzania, akisisitiza kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya ilani ya mwaka 2020/2025 yamejenga msingi imara kwa ahadi mpya zinazolenga kuleta mapinduzi ya kiuchumi katika eneo hilo. Akizungumza leo Jumapili Septemba…

Read More

KATIBU MKUU MRAMBA AKUTANA NA KAMPUNI YA NYUKLIA YA CHINA

…………… 📌 Wajadili ushirikiano katika kuzalisha umeme wa nyuklia nchini 📌 Watanzania kujengewa uwezo katika masuala ya nyuklia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba ameongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika kikao na Shirika la Taifa la Nyuklia la China (China National Nuclear Corporation – CNNC), kujadili fursa za ushirikiano katika kuanzisha…

Read More

Mke amkata uume mumewe Manyara, wivu wa mapenzi watajwa

Hanang. Mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Kidangu, kata ya Endagaw, wilayani Hanang mkoani Manyara, Veronica Muhale (40), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kudaiwa kumjeruhi mume wake Josephati Kasi (45) kwa kumkata kwa kisu na kuondoa sehemu zake za siri. Mwenyekiti wa kitongoji cha Maweni, Mohamed Ramadhani akizungumza na waandishi wa habari leo …

Read More

Wenye ulemavu waonya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Wakati joto la uchaguzi mkuu likizidi kupanda nchini, Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Viungo nchini (CHAWATA) Mkoa wa Mbeya kimesema amani na usalama unahitajika kuliko kitu kingine kwani hali ikichafuka wao ndio waathirika wa kwanza.  Pia, kimeomba vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi kutoa fursa kwa watu wenye ulemavu wa viungo ili kupata wawakilishi watakaoweza…

Read More

Samia aahidi neema kwa wakulima

Mbinga. Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwa, endapo atapata ridhaa ya kuongoza miaka mingine mitano Serikali itafanya jitihada za kuimarisha masoko ya mazao na kuendelea kutafuta bei bora ili mkulima afaidike na nguvu zake. Samia ametoa ahadi hiyo leo Septemba 21, 2025 wakati wa mkutano wake wa kampeni uliofanyika…

Read More