Nasser bingwa Africa, Patel Mkwawa Rally

DEREVA Mtanzania, Yassin Nasser na msoma ramani Mganda, Ally Katumba ndio mabingwa wa Afrika kwa mwaka 2025 licha ya kumaliza nafasi ya tatu katika raundi ya tano ya ubingwa wa mbio za magari wa Afrika zilizomalizika jana Jumapili. Dereva huyo aliyekuwa akiendesha gari aina ya Ford Fiesta R5 alimaliza nafasi ya tatu kwa upande wa…

Read More

Nyoni ameona kitu kwa Maema

NEO Maema ni mmoja wa nyota wapya waliosajiliwa msimu huu na Simba akitokea Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, lakini bado hajaonyesha maajabu ila kuna staa mkongwe, Ersto Nyoni ameshindwa kuvumilia na kusema jamaa ana kitu mguuni. Nyoni aliyewahi kuitumikia Simba, Azam na Namungo, amesema ili Msimbazi ifaidike na kiwango cha kiungo mshambuliaji huyo Msauzi ,…

Read More

Mtanzania anyakua tuzo Misri | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Oscar Evalisto anayekipiga Makadi FC ya Misri ameibuka na tuzo ya mchezaji bora wa mechi dhidi ya Maraga FC akisema zawadi hiyo ni maalumu kwa baba yake mzazi aliyefariki dunia wiki iliyopita. Huu ni msimu wa pili kwa mshambuliaji huyo kuitumikia Makadi. Msimu uliopita alicheza miezi sita akitokea Mlandege na aliwahi kupita…

Read More

GCLA YAWAFIKIA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA

Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Maabara za Sayansi Jinai na Vinasaba vya Binadamu, Fidelis Segumba (kushoto), akimsikiliza mdau aliyetembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani Geita. Meneja wa Mamlaka, Ofisi ya Kanda ya Ziwa, John Wanjala (kushoto), akitoa…

Read More

Wenye ulemavu waonya uvunjifu wa umani kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Wakati joto la uchaguzi mkuu likizidi kupanda nchini, Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Viungo nchini (Chawata) Mkoa wa Mbeya kimesema amani na usalama unahitajika kuliko kitu kingine kwani hali ikichafuka wao ndio waathirika wa kwanza.  Pia, kimeomba vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi kutoa fursa kwa watu wenye ulemavu wa viungo ili kupata wawakilishi watakaoweza…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU PEMBEJEO ZA KILIMO,KUKAMILISHA MIRADI

*Azungumzia kuhusu kutatua changamoto ya uhaba wa maji, agusia miundombinu ya barabara Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameahidi Serikali katika miaka mitano ijayo itaendelea kutoa ruzuku ya pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea ya ruzuku sambamba na kutafuta masoko ya mazao ili wakulima wanufaike na jasho lao….

Read More

Mabula afichua kitu Azerbaijan | Mwanaspoti

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema huu unaweza kuwa msimu wake bora na wenye mafanikio tangu aanze kucheza soka la kulipwa. Kabla ya kutimkia Shamakhi kiungo huyo aliwahi kuitumikia FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu ya Serbia maarufu kama Serbian SuperLiga kwa misimu miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, Mabula alisema msimu…

Read More