Ligi ya Kriketi Wasichana nguvu yahamishiwa Dodoma

CHAMA cha Kriketi nchini (TCA)  kimeazimia kulifanya Jiji la Dodoma kuwa makao makuu ya mchezo wa kriketi na kuzidi kuhamasisha hasa wanawake kushiriki. Mkufunzi wa Kriketi Dodoma, Benson Mwita alisema wanataka kuhakikisha mchezo huo unakuwa kati ya inayopendwa na wanawake shuleni. “Mwitikio wa vijana ni mkubwa na wengi, hasa wasichana wametokea kuupenda mchezo huu. Naamini…

Read More

Dk Mwinyi anavyotembea na ajenda ya amani, maendeleo na uchumi

Unguja. Ahadi za kujenga mshikamano, amani na utulivu, maendeleo ya watu na kukuza uchumi, ndizo zinazoonekana kuyatawala majukwaa ya kampeni za urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Tayari kampeni hizo zilizozinduliwa katika Uwanja wa Mnazimmoja Unguja, zimeshatimiza siku ya saba tangu zilipoanza, zikibakiza mwezi mmoja kabla ya upigaji kura, utakaofanyika Oktoba 28 na…

Read More

Biashara ya maziwa inavyowainua kiuchumi wanawake wa Mwika

Moshi. Wakati changamoto ya ajira ikiendelea kuwa kikwazo nchini, baadhi ya wanawake wa Kata ya Mwika Kaskazini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wameeleza namna shughuli ya uuzaji wa maziwa ya ng’ombe inavyowainua kiuchumi na kuboresha maisha ya familia zao. Wanawake hao ambao wamejikita katika ufugaji wa ng’ombe wa maziwa na kuuza maziwa  katika kiwanda cha…

Read More

KMKM, AS Port zatambiana CAF

KOCHA wa AS Port, Seninga Innocent, amesema kuchagua kuutumia Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Zanzibar kwa mchezo wao wa nyumbani dhidi ya KMKM kutoka visiwani hapa, sio sababu ya kushindwa kirahisi, bali watapambana kupata ushindi. Innocent ameyasema hayo jana Jumamosi Septemba 20, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kwanza wa…

Read More

VIBE LA WANA MBINGA KWA DK.SAMIA SI MCHEZO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV HAKIKA wana Mbinga wana Vibe sio mchezo!Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na wingi wa wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni za mgombea urais Dk.Samia Suluhu Hassan. Dk.Samia leo anapokelewa mkoani Ruvuma kwa ajili ya kuendelea na mikutano yake na leo atatanya mikutano miwili ukiwemo wa Wilaya ya Mbinga na baadae atakuwa na…

Read More

Mbinu kukabiliana na machungu ya kuachwa

Kuachwa na mwenza ni moja ya mambo yenye uchungu mkubwa katika maisha ya binadamu. Inaweza kuvunja moyo, kuharibu mtazamo wa maisha, na kusababisha hali ya kutojiamini, huzuni na hata msongo wa mawazo. Watu wengi hujikuta katika hali ya kukata tamaa, kujitenga na jamii au hata kupoteza mwelekeo wa maisha. Hali hii huathiri si tu hisia…

Read More

Somo kwa wale wanaowatelekeza watoto

Canada. Visa vya matajiri wakubwa watatu duniani na marais wawili wa Marekani vinasisimua, kufikirisha, na vinafundisha kwa wenye akili na busara. Marehemu Steve Jobs,  mwanzilishi wa  kampuni kubwa ya Apple, Jeff Bizos wa Amazon, na Larry Elison wa Oracle wanaweza kutufundisha kitu juu ya nani anapaswa au anaadhibiwa kati ya wazazi na watoto waliozaliwa nje…

Read More

Bado Watatu – 35 | Mwanaspoti

Raisa alifanya kazi ya ziada kunibembeleza ninyamaze na akanipa moyo kwamba yaliyonitokea ni mitihani tu na kwamba Mungu ataniepushia balaa. Muda wa kulala ulipowadia, Raisa alinikaribisha chumbani mwake. Raisa hakuwa na mume, lakini nilipoingia chumbani mwake niliona suruali ya kiume aina ya jeans imetundikwa kwenye mlango. “Mbona kuna suruali ya kiume humu ndani?” nikamuuliza. “Nina…

Read More