MRATIBU KAMPENI ZA CCM ZANZIBAR ATAJA SABABU ZA MSINGI ZINAZOTOSHA DK.SAMIA KUSHINDA KWA KISHINDO

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV MRATIBU wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho Mohamed Abood Mohamed ameeleza hatua kwa hatua sababu za Watanzania kumchagua Mgombea Urais Dk.Samia Suluhu Hassan kuchaguliwa kwa kura nyingi katika uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Miongoni kwasababu hizo ambazo zinafanya mgombea…

Read More

EU yatoa kauli barafu kilele cha Mlima Kilimanjaro

Moshi. Mabalozi 12 kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro (Kinapa) na kueleza kuwa zinahitajika jitihada za makusudi kunusuru barafu ya Mlima Kilimanjaro, ambayo imeendelea kupungua kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza katika lango la Marangu, jana Septemba 19, 2025 wakati wa kuhitimisha ziara ya siku…

Read More

MO aweka pesa Coastal Union

COASTAL Union ya Tanga, mapema leo imeingia makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Mo Taifa kama mdhamini wa timu hiyo. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Masoko ya kampuni hiyo, Fatema Dewji amesema sababu ya kuidhamini Coastal ni pamoja na ubora na ushindani unaoendelea kuonyeshwa na timu hiyo katika…

Read More

Ripoti za madhara ya dawa, chanjo zafikia 10,000

Mwanza. Idadi ya ripoti za maudhi na madhara yatokanayo na matumizi ya dawa, chanjo, vifaa tiba na vitendanishi nchini imeongezeka kwa kasi, kutoka ripoti 200 mwaka 2020 hadi zaidi ya 10,000 kwa mwaka, kwa mujibu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA). Kwa mujibu wa TMDA, ongezeko hilo linatokana na uhamasishaji uliofanyika kwa watumiaji na…

Read More