Goti la uchumba la mwanamume mjadala mpana

Dar es Salaam. Ilikuwa siku ya furaha, lakini tukio la Steven Mabula, kupiga goti mbele ya Marietha Lazaro alipomvisha pete ya uchumba, lilitia doa hafla hiyo. Wapo walioelewa ishara ya tukio hilo, lakini haikuwa hivyo kwa baba wa Steven. Aliamini kijana wake amekiuka misingi ya mila na desturi. “Nilipiga goti bila kufahamu ishara hiyo ina…

Read More

Mkutano wa NCCR-Mageuzi Sumbawanga wakwama, sababu yatajwa

Rukwa. “Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi, Ambari Haji Hamisi, ameshindwa kuhutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabato Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kujitokeza wananchi wachache. Tukio hilo limetokea baada ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kama ilivyotarajiwa. Hata hivyo, mkutano uliendelea kwa kuhutubiwa na wagombea wawili wa…

Read More

Aliyejaribu kujiua baada ya kumuua mkewe, ahukumiwa kifo

Arusha. Licha ya jaribio la kunywa sumu ya kuulia wadudu kwa lengo la kujiua baada ya kumuua mkewe, Rehema Daniel, kwa kumkata kwa panga, Peter Deus hakuweza kuukwepa mkono wa sheria. Baada ya sumu hiyo kuanza kumletea maumivu makali tumboni, alipiga simu polisi kuomba msaada. Tukio hilo lilitokea Septemba 24, 2023, katika Kijiji cha Njiapanda,…

Read More

SERIALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KUENDELEZA SAYANSI,TEKNOLOJIA NA UBUNIFU KWA VIJANA

KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Nombo amesema kuwa Serikali itaendeleza msimamo thabiti wa kujenga mazingira wezeshi kwa sayansi, teknolojia na ubunifu wa vijana. Akizungumza leo Dar es Salaam kwa niaba ya Profesa Nombo, Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Charles Kihampa,  wakati wa Maonesho ya 15 ya…

Read More

Askofu mstaafu Munga wa KKKT afariki dunia

Tanga. Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga amefariki dunia. Akizungumza na Mwananchi, mke wa marehemu, Mchungaji Dk Anneth Munga, amesema kuwa Askofu Munga amefariki dunia leo Jumamosi, Septemba 20, 2025, majira ya saa 9:30 alfajiri akiwa katika Hospitali ya Rabinisia, jijini Dar es Salaam,…

Read More

Madereva waliamsha mbio za magari ubingwa wa Afrika

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, jana amezindua rasmi mbio za magari za Mkwawa Rally of Tanzania 2025 zinazofanyika mkoani Morogoro, ambapo madereva kutoka nchi mbalimbali wanachuana kusaka ubingwa wa African Rally Championship (ARC). Uzinduzi huo ulifanyika kwenye viwanja vya mashamba ya mkonge Tungi, Morogoro, ambapo Profesa Kabudi amesema mashindano hayo…

Read More