DKT NCHIMBI "UTAFITI MAENEO YA MADINI KUONGEZEKA KWA 50%"

Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama Cha Mapindizi (CCM). Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi amesema Serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, endapo kama Itaingia Madarakani kwa mara nyingine itahakikisha inatenga maeneo mengine ya kutosha kwa ajili ya Wachimbaji Wadogo, ikiwa ni pamoja na kuongeza kiwango cha Utafiti kwenye maeneo ya Madini kutoka asilimia…

Read More

TDS yaitibulia City FC Abuja Tanzanite Pre-Season

TDS imeitibulia City FC Abuja katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya michuano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya leo Septemba 5, 2025 kuichapa bao 1-0. City FC Abuja iliingia katika mchezo huo uliofanyika kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, ikiwa tayari imefuzu nusu fainali, lakini…

Read More

Jaji Mkuu awaondolea mapumziko majaji, mahakimu Zanzibar

Unguja. Kutokana na mchakato wa wagombea urais na uwakilishi kutakiwa kula viapo mahakamani, Jaji Mkuu wa Zanzibar, Khamis Ramadhan Abdalla ameagiza watendaji wote wa mahakama kuwa kazini hata siku za sikukuu na mapumziko ya mwishoni mwa juma. Hatua hiyo inalenga kuwapatia fursa wagombea wanaosaka nafasi hizo kufika mahakamani kula viapo mbele ya majaji na mahakimu….

Read More

Nafasi ya huduma rasmi za kifedha katika Dira 2050

Dar es Salaam. Wananchi wametakiwa kutumia mifumo rasmi ya kifedha ikiwemo huduma za benki ili kuiwezesha Tanzania kutimiza malengo ya kuwa taifa lenye uchumi jumuishi na shindani ifikapo 2050. Hayo yalielezwa jana Septemba 04, 2025 wakati wa kongamano lililoandaliwa na Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) likilenga kuangazia fursa na changamoto za sekta hiyo katika utoaji…

Read More

Singida yapata ushindi wa kwanza Kagame,  Chama akiliamsha

MSHAMBULIAJI wa kati, Elvis Rupia amewaumiza ndugu zake Wakenya kwa kuifunga Polisi, akiibeba  Singida Black Stars kupata ushindi wa kwanza katika michuano ya Kombe la Kagame 2025viliyopigwa leo, Ijumaa kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam. Rupia aliyekuwa na jukumu la kuongoza safu ya ushambuliaji ya Singida BS alifunga bao moja wakati timu hiyo ikiibuka…

Read More

NI NYOMI TU KILA ANAKOKWENDA MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN

*Aacha matumaini makubwa kwa wakulima wa zao la parachichi ,Chai wilayani Rungwe  *Mashamba ambayo wawekezaji wameshindwa kuyaendeleza Serikali yaunda timu kufuatilia Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Rungwe KAMPENI za mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suhusu Hassan zimeendelea katika Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya ambapo maelfu ya wananchi wamejitokeza kwenye mkutano huo. Akiwa katika…

Read More

Rasmi Fadlu afunuliwa faili la Bajaber

WAKATI mashabiki wa Simba wanasubiri kwa hamu kumuona Mohammed Bajaber akiichezea timu hiyo kwa mara ya kwanza katika mechi za mashindano, kocha wa zamani aliyewahi kumnoa wakati akiwa Polisi Kenya, amempa ‘code’ kocha Fadlu Davids aweze kumfaidi vyema kikosini. Bajaber ni kati ya…

Read More

Messi apewa mmoja Polisi Tanzania

TIMU ya maafande wa Polisi Tanzania, imefikia makubaliano ya kumsajili aliyekuwa winga wa Namungo ‘Wauaji wa Kusini’, Issa Abushehe ‘Messi’ kwa mkataba wa mwaka mmoja kukitumikia kikosi hicho, baada ya pande zote mbili kufikia uamuzi huo. Abushehe ameachana na Namungo aliyojiunga nayo katika dirisha dogo la Januari 2025, ikiwa ni muda mfupi tu tangu nyota…

Read More

Simbu, Gisemo kubeba mioyo ya Watanzania Tokyo

MATUMAINI ya Tanzania kuongeza medali ya tatu katika historia ya mashindano ya dunia ya riadha yapo mikononi mwa wanariadha wawili Aphonce Simbu na Josephat Gisemo watakaoshiriki kuanzia Septemba 13, mwaka huu, jijini Tokyo, Japan. Awali, Tanzania ilitarajia kupeperusha bendera kwa wanariadha wanne, lakini mipango hiyo ikayumba baada ya bingwa wa marathoni wa Wanawake, Magdalena Shauri…

Read More