
DKT NCHIMBI "UTAFITI MAENEO YA MADINI KUONGEZEKA KWA 50%"
Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama Cha Mapindizi (CCM). Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi amesema Serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, endapo kama Itaingia Madarakani kwa mara nyingine itahakikisha inatenga maeneo mengine ya kutosha kwa ajili ya Wachimbaji Wadogo, ikiwa ni pamoja na kuongeza kiwango cha Utafiti kwenye maeneo ya Madini kutoka asilimia…