TBS YAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amezindua maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na kuliagiza shirika hilo kutumia maadhimisho hayo kama fursa ya kutangaza huduma zao. Uzinduzi huo umefanyika Septemba 18,2025 katika ofisi za TBS zilizopo Ubungo Jijini Dar es Salaam ambapo Dkt. Abdallah amesema shirika hilo…

Read More

MADEREVA WA MAGARI WAELIMISHWA KUHUSU USALAMA WA BARABARANI

Na Albert Kawogo MADEREVA wanaotumia barabara ya Bagamoyo kuelekea mikoa ya kaskazini ya Tanzania wametakiwa kuwa makini katika kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kusababisha vifo na ulemavu wa kudumu Akizungumza katika zoezi maalum la ukaguzi wa magari na utoaji wa elimu kwa madereva wa magari yote yanayopitia njia ya Bagamoyo Mkuu…

Read More

Bado Watatu – 33 | Mwanaspoti

HAKUMALIZA sentensi yake akaninyooshea mkono wake na kukikunjua kiganja alichokuwa amekifumba. Akanionyesha kitu alichokuwa amekishika.Kilikuwa funguo ya gari la Shefa!“Hizi funguo ni za gari la Shefa na nimezikuta ndani ya pochi yako humu chumbani.”Mshituko nilioupata ulinifanya nitwete kama niliyekuwa nafukuzwa. Kumbe mume wangu aliichukua ile pochi na kuifungua, ndiyo maana niliikuta kitandani wakati mimi mwenyewe…

Read More

Maajabu ya kupiga mluzi kiafya

Dar es Salaam. Mara nyingi kupiga mluzi huchukuliwa kama ishara ya mtu kuchoka, kutojali au hata burudani ya muda. Hata hivyo, wataalamu wa afya wanasema tendo hili lina faida nyingi kwa mwili wa binadamu, hususani katika kuboresha mfumo wa upumuaji, kuimarisha mzunguko wa damu na kuongeza ustawi wa akili. Kwa mujibu wa wataalamu, kupiga mluzi…

Read More

Magori ametoa kauli ya kiuongozi Simba

CRESCENTIUS Magori juzi alitoa kauli ambayo hapa kijiweni tunaamini ndiyo inapaswa kutolewa na kiongozi pindi timu inapopoteza mechi kama ya Jumanne wiki hii dhidi ya Yanga. Amewataka Wanasimba kuwa na utulivu wa hali ya juu katika kipindi hiki ambacho imetoka kupoteza mechi ya sita mfululizo dhidi ya Yanga na katika mechi hiyo ilifungwa bao 1-0….

Read More

Kipa Yanga atimkia Mwanza | Mwanaspoti

KLABU ya Alliance Girls inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), imedaiwa ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kipa wa zamani wa Yanga Princess, Husna Mtunda. Kipa huyo aliitumikia Yanga Princess kwa misimu miwili, lakini hakupata nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza mbele ya makipa Mghana Safiatu Salifu na Mnigeria Rita Akarekor kwa sasa…

Read More