Mtego nusu fainali Ligi ya KIkapu Dar

MACHO na masikio ni kwa miamba minne wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) na zinasubiriwa mechi za kuamua timu zitakazotinga fainali, huku Dar City ikimenyana na Stein Warriors, huku Pazi ikikipiga na JKT kwa wanaume na kwa wanawake JKT Stars itacheza DB Lioness, huku DB Troncatti ikicheza na Jeshi Stars. Nusu fainali hiyo…

Read More

Simchimba, Raizin kuna kitu Mtibwa Sugar

NYOTA wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema kucheza timu moja na mshambuliaji mwenzake, Andrew Simchimba ni jambo nzuri litakaloisaidia kikosi hicho kufanya vizuri zaidi kwa msimu wa 2025-2026 kutokana na kile walichokifanya msimu ulipita. Kauli ya Raizin inajiri baada ya Simchimba aliyejiunga na Singida Black Stars katika dirisha kubwa la usajili akitokea Geita Gold kutolewa…

Read More

Zubery Katwila ala kiapo Geita Gold

KOCHA wa Geita Gold, Zubery Katwila, amesema kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha anaipambania timu hiyo kurejea tena Ligi Kuu, baada ya kushindwa kutimiza malengo hayo msimu uliopita, licha ya kucheza pia mechi za mtoano ‘Play-Off’. Katwila aliyetamba na timu mbalimbali zikiwemo, Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars na Mtibwa Sugar, amejiunga na…

Read More

Moussa Camara amshtua kocha Yanga

KIWANGO bora alichoonyesha kipa wa Simba, Moussa Camara ‘Spiderman’ katika pambano la Dabi ya Kariakoo, kimemshtua kocha Mfaransa anayeinoa Yanga na kusema kama sio umahiri wa kipa huyo raia wa Guinea, huenda mambo yangekuwaharibikia Wanamsimbazi. Katika pambabo hilo la Ngao ya Jamii lililochezwa Jumanne ya wiki hii, Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0, huku Camara…

Read More

Maendeleo dhaifu nchini Syria, katika hatari ya kutengwa na kuingiliwa kwa kigeni, UN inaonya – maswala ya ulimwengu

Walionya kwamba hatua za kijeshi za kigeni, kutengwa kwa kisiasa na rasilimali zinazopungua zinatishia kuondoa faida dhaifu. Mjumbe Maalum wa UN Geir Pedersen – ambaye alitangaza kwamba atakuwa akishuka kutoka kwa jukumu lake wakati wa mkutano – aliwaambia mabalozi kwamba viongozi wa mpito huko Dameski wamerithi “sio tu magofu ya majengo yaliyovunjika, lakini ya Wreckage…

Read More

CCM INAFANYA KAZI KUBWA YA KULETA MAENDELEO, WANANCHI WAENDELEE KUKIAMINI-WASIRA

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka. Wasira alieleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM…

Read More

Njia mbadala, salama za kujenga mwili

Dar es Salaam. Katika jamii ya sasa, hasa miongoni mwa vijana, kujenga mwili limekuwa jambo linalotiliwa mkazo. Watu wengi wanapenda kuwa na miili yenye misuli imara, kifua kipana, mikono minene, na tumbo lililojaa ‘six pack’. Sura ya nje imekuwa kipimo cha kuvutia, kujiamini na hata mafanikio kijamii. Hata hivyo, katika harakati hizi, baadhi ya vijana…

Read More