‘Hakuna Mwisho’ Inatarajiwa Mafuriko na Dhoruba Wakati Inapokanzwa Ulimwenguni Inaendelea – Maswala ya Ulimwenguni

“Hatari zinazohusiana na maji zinaendelea kusababisha uharibifu mkubwa mwaka huu“Alisema Celeste Saulo, WMO Katibu Mkuu. “Mfano wa hivi karibuni ni mafuriko ya monsoon yenye uharibifu nchini Pakistan, mafuriko huko Sudani Kusini na mafuriko ya mauti katika kisiwa cha Indonesia cha Bali. Na kwa bahati mbaya, Hatuoni mwisho wa mwenendo huu. “ Bi Saulo alibaini kuwa…

Read More

Simba yaibeba tena Yanga, yaipa mamilioni

YANGA imeshatua Angola tayari kwa kukutana na Waliete FC, ya huko lakini kabla ya mastaa wa timu hiyo hawajashuka kwenye ‘pipa’ kuna mamilioni wameingiziwa ambayo yanatokana na Simba. Yanga itakuwa uwanjani kesho, kupambana na Waliete ukiwa ni mchezo wa kwanza wa hatua ya awali ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na baada ya wiki…

Read More

Saliboko aanza mbwembwe Ligi Kuu Bara

DARUWESH Saliboko wa KMC amekuwa mchezaji wa kwanza msimu huu kufunga bao katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026 alipoiwezesha timu hiyo kuibuka washindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji ameanza mbwembwe mapemaa. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Polisi Tanzania na Lipuli, alisema ushindi iliyopata KMC ikiwa nyumbani ulikuwa ni mpango wa timu na…

Read More

Gwiji Simba ampa ujanja Yakoub Suleiman

ENDAPO kama kipa wa Simba, Yakoub Suleiman atazingatia ushauri wa mkongwe katika nafasi hiyo, kocha Idd Pazi ‘Father’ basi huenda akairejesha Tanzania One baada ya Aishi Manula kusajiliwa Azam FC. Pazi aliwahi kuwa kipa Tanzania One enzi akiwa Simba alisema, kipa huyo mpya wa Simba aliyetua kutoka JKT Tanzania anatakiwa kuzingatia mazoezi ya timu na …

Read More

JITOKEZENI KUPATA VITAMBULISHO VYA TAIFA – NIDA

 ::::::::; Na Mwandishi Wetu,  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wananchi hususan kutoka makundi yenye mahitaji maalumu kujitokeza kwa wingi kujisajili ili kupata Vitambulisho vya Taifa, hatua ambayo itarahisisha upatikanaji wa huduma muhimu za kijamii ikiwamo afya, elimu na huduma za kifedha. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji Vitambulisho kutoka NIDA,…

Read More

Uzembe barabarani ajali zaua 25 ndani ya wiki

Dodoma. Janga la ajali limezidi kuwa tishio nchini baada ya watu 25 kupoteza maisha katika matukio tofauti ndani ya wiki moja, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baadhi yao wakiwa mahututi. Ajali hizo zilitokea kwa nyakati tofauti katika mikoa tofauti, zikiwemo Pwani ambako watu watano wa familia moja walipoteza maisha juzi, Mwanza (watano), Mara (sita), na Dodoma…

Read More