Mantra Yaelekezwa Kuwashirikisha Watanzania Uchimbaji wa Urani

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dkt. Janeth Lekashingo, ameitaka kampuni ya Mantra Tanzania Limited, inayosimamia Mradi wa Uchimbaji wa Madini ya Urani katika Mto Mkuju, kuhakikisha kuwa Watanzania wanashirikishwa kikamilifu katika hatua zote za uchimbaji na uchakataji ili manufaa ya rasilimali hiyo muhimu ya taifa yawafikie wananchi wengi zaidi. Akizungumza Oktoba 1, 2025, katika ziara…

Read More

Guterres analaani shambulio la ugaidi linalowalenga Manchester Sinagogi – Maswala ya Ulimwenguni

Mshambuliaji huyo anayeshukiwa pia alikufa, baada ya kupigwa risasi na polisi. Wengine watatu wanaripotiwa kuwa katika hali mbaya kufuatia gari na kupiga risasi kwenye sinagogi la Heaton Park katika mji wa kaskazini wa Kiingereza. Shambulio kubwa kwa Yom Kippur “Nyumba za ibada ni sehemu takatifu ambapo watu wanaweza kwenda kupata amani,” mkuu wa UN António…

Read More

Moto waua watoto watatu Kibaha

Kibaha. Wakazi wa Mtaa wa Kitende Kwa Mfipa, Kibaha mkoani Pwani, wamegubikwa na simanzi baada ya watoto watatu kufariki dunia kufuatia moto ulioteketeza nyumba ya ghorofa moja. Tukio hilo lilitokea Jana Jumatano Oktoba Mosi, 2025 Saa 10:00 alasiri, katika nyumba inayomilikiwa na Marey Balele.Imeelezwa kuwa moto huo ulizuka ghafla ghorofa ya juu na kuharibu sehemu…

Read More

Wawili kortini wakikabiliwa na mashtaka 57

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wawili  Ibrahim Mohamed na Matei Joseph, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 57 yakiwemo ya kughushi wito wa Polisi wakionyesha umetolewa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi na kuongoza genge la uhalifu. Mashtaka mengine ni kughushi cheti cha ndoa, cheti cha kifo, cheti cha…

Read More

SERIKALI IMEWAONYA WATUMISHI WA UMMA WANAOTOA LUGHA ZISIZO ZA STAHA, WAKUMBUSHWA MAADILI YA KIUTUMISHI.

Na Mwandishi wetu Dodoma  Serikali imewataka watumishi wa umma kuzingatia sheria kanuni Taratibu na mienendo ya maadili ya utendaji, na maadili ya taaluma zao, katika utendaji wao wa kazi, ili kutoa huduma bora kwa kuzingatia weledi, uadilifu na uwajibikaji wa hiari kwa lengo la kuimarisha ustawi kwa jamii na kupunguza malalamiko kwa wananchi. Wito huo…

Read More

Maswali saba kusuasua usafiri mwendokasi Dar

Dar es Salaam. Ikiwa kuna jambo linaloshangaza jijini Dar es Salaam, basi ni wingi wa watu wanaohitaji huduma za usafiri kila siku. Lakini kilicho zaidi ya mshangao huo ni yanayoendelea katika mradi wa mabasi mwendokasi, ambao ulikuwa ukitarajiwa kuwa suluhisho la tatizo la msongamano wa magari. Mradi huo ulioanzishwa mwaka 2016, ukiibuliwa kama tiba ya…

Read More