Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Waziri Kindamba kama Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART).
Badala yake, nafasi hiyo imechukuliwa na Pius Andrew Ng’ingo.
Related
Habari za Kitaifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Waziri Kindamba kama Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART).
Badala yake, nafasi hiyo imechukuliwa na Pius Andrew Ng’ingo.