
DK.SAMIA KUENDELEA KUWEKA MKAZO KATIKA SEKTA YA MADINI
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Arusha MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kuweka msisitizo kuimarisha sekta za madini. Amesema Serikali katika miaka mitano iliyopita walijiwekea lengo la kufikia asilimia 10 ifikapo 2025 huku mchango wa madini kwenye pato la taifa umeongezeka kutoka asilimia 6.8 mwaka 2020 hadi asilimia 10…