ANGELLAH KAIRUKI ASHIRIKI KONGAMANO LA UCHAGUZI, AMANI NA DUA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Angellah Kairuki, ameshiriki katika Kongamano la Uchaguzi, Amani na Dua lililoandaliwa na Baraza la Waislam Tanzania (BAKWATA) Wilaya ya Ubungo, Jimbo la Kibamba. Tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika kongamano hilo, Mhe. Kairuki amewahakikishia wananchi…

Read More

Maskini Al Merrikh  yatupwa nje Afrika

AL Merrikh ya Sudan imetupwa nje katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kulazimishwa suluhu nyumbani na FC Lupopo ya DR Congo. Katika mechi ya kwanza iliyopigwa wiki iliyopita huko DR Congo, Al Merrikh ilipoteza kwa bao 1-0 na hivyo kuifanya FC Lupopo kutinga raundi ya pili ya michuano hiyo na sasa itavaana…

Read More

Mgombea urais Hamad aahidi kusaidia wanawake kupata waume

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza atatekeleza mpango wa kusaidia wanawake wasioolewa kupata waume. Pia, ameahidi ndani ya kipindi hicho za siku 100 atatekeleza mpango wa kuwatafutia wenza watu wenye ulemavu ambao hawajaoa wala kuolewa….

Read More

RC Dodoma awapigia chapuo bodaboda kwenye uchaguzi

Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amelitaja kundi la waendesha pikipiki (bodaboda) kwamba ni watu maarufu katika kuchangamkia fursa, hivyo watu wengine wanapaswa kuiga mfano huo. Ni kwa mfano huo, ameomba wananchi watumie nafasi ya ujanja huo ili wajitokeze kwa wingi siku ya uchaguzi kwani Dodoma ilifanya vibaya katika uchaguzi wa 2020. Senyamule…

Read More

‎Mahakama yaombwa Heche, Mnyika waswekwe ndani

‎Dar es Salaam. Walalamikaji katika kesi ya mgawanyo wa rasilimali dhidiya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameibua jipya, wakitaka wadaiwa, wakiwemo Makamu Mwenyekiti (Bara) wa chama hicho, John Heche na katibu mkuu John Mnyika wafungwe kwa madai ya kudharau amri ya mahakama. Kesi hiyo ya madai namba 8323 ya mwaka 2025 ilifunguliwa na Said…

Read More