SERIKALI INAENDELEA KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI KUWEZESHA WALIMU KUTOA ELIMU BORA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amesema kuwa chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali imefanya kazi kubwa ya kuboresha mazingira ya walimu, ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya shule ambayo imeongeza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji. Akizungumza katika Maadhimisho…

Read More