ANGELLAH KAIRUKI ASHIRIKI KONGAMANO LA UCHAGUZI, AMANI NA DUA JIJINI DAR ES SALAAM
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Angellah Kairuki, ameshiriki katika Kongamano la Uchaguzi, Amani na Dua lililoandaliwa na Baraza la Waislam Tanzania (BAKWATA) Wilaya ya Ubungo, Jimbo la Kibamba. Tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika kongamano hilo, Mhe. Kairuki amewahakikishia wananchi…