Silaha za Vita vya Kidunia vya pili bado vinatishia maisha na maendeleo katika Visiwa vya Solomon – maswala ya ulimwengu

Halo kuratibu na Idara ya Polisi ya Royal Solomon Islands ya kulipuka Ordnance Ordnance (RSIPF EODD) kurekodi eneo la UXO katika eneo la Dunde, Munda, Mkoa wa Magharibi. Mikopo: Halo Trust. na Catherine Wilson (Sydney, Australia) Jumatatu, Oktoba 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SYDNEY, Australia, Oktoba 6 (IPS) – Karne iliyopita Visiwa vya…

Read More

Mashindano Mujarab, Ushindi Mkubwa na Vodacom Tanzania Open 2025

Mashindano maarufu ya Vodacom Tanzania Open 2025 yamehitimishwa katika mandhari ya kuvutia ya Kilimanjaro Golf & Wildlife Estate (Kiligolf) jijini Arusha kwa hafla ya utoaji wa zawadi iliyoambatana na shamrashamra. Mashindano haya ya siku nne yaliwaleta pamoja wachezaji wa golf wa rika na viwango tofauti kutoka maeneo mbalimbali ya Africa, yakifungua ukurasa muhimu katika kalenda…

Read More

EWURA YAONDOA USUMBUFU KWA KUTOA HUDUMA MITANDAONI

Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt. James Andilile (kulia), akizungumza na watumishi wa Mamlaka hiyo wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja uliofanyika leo Oktoba 6,2025  katika ofisi za EWURA jijini Dodoma. Na.Mwandishi Wetu-DODOMA MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imerahisisha upatikanaji wa vibali, leseni na utatuzi wa malalamiko kupitia…

Read More

TTCL YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KAULIMBIU “MISSION: POSSIBLE”

:::::::::: Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua rasmi Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa mwaka 2025 leo, Oktoba 6, jijini Dar es Salaam, likiongozwa na kaulimbiu “Mission: Possible”.  Kaulimbiu hiyo inalenga kuhamasisha ubunifu, mshikamano na utayari wa kutatua changamoto mbalimbali katika utoaji wa huduma bora kwa wateja wote nchini. Akizungumza katika uzinduzi huo, Mkurugenzi wa…

Read More

TTCL YAHAKIKISHIA HUDUMA BORA KWA WATANZANIA WOTE

 :::::::::::: Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litaendelea kuwekeza katika teknolojia za kisasa, kuboresha mifumo yao, na kuhakikisha huduma bora zinawafikia Watanzania wote popote walipo ili kuhakikisha kila mwananchi ananufaika na maendeleo ya mawasiliano nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa TTCL, Bi. Anita Moshi, wakati wa uzinduzi wa Wiki ya…

Read More

Marie Stopes Tanzania yabadilisha jina na kuahidi kuendelea kutoa huduma ma za Afya ya Uzazi

SHIRIKA la kimataifa lisilo la kiserikali linalotoa huduma za afya ya uzazi nchini, Marie Stopes Tanzania, sasa linajulikana kwa jina jipya la MSI Tanzania, huku likiahidi kuendeleza kutoa huduma zake bila mabadiliko yoyote katika utendaji wake. Akizungumza katika kongamano la afya (Tanzania Health Summit) jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mkazi wa MSI Tanzania, Patrick Kinemo,…

Read More