Ukosefu wa chakula cha mijini ni kuongezeka – Hapa kuna jinsi miji inaweza kujibu – maswala ya ulimwengu

Kushughulikia shida ya ukosefu wa chakula cha mijini itahitaji maono, hatua na mikakati iliyoratibiwa, na kujitolea endelevu kutoka kwa serikali za jiji, wasomi, sekta binafsi, na NGOs. Mikopo: Shutterstock Maoni na Esther Ngumbi (Urbana, Illinois, sisi) Jumanne, Oktoba 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Urbana, Illinois, Amerika, Oktoba 7 (IPS) – mamilioni ya watu…

Read More

FIFA yawapa ulaji Karia, Hersi

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), limewapa nafasi mpya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia na Rais wa Klabu ya Yanga, injinia Hersi Said. Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa FIFA, Mattias Grafstrom, kwenda kwa viongozi hao imesema Karia ameteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Soka…

Read More

NSSF ARUSHA YAZINDUA MAADHIMISHO YA WIKI KWA WATEJA.

Na, Veronica Ignatus Michuzi Blog, Arusha.  Mfuko wa taifa wa hifadhi ya jamii NSSF Jijini Arusha umefungua  maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja, lengo likiwa ni kutoa shukrani kwa wananchama, motisha, kubainisha mafanikio pia changamoto za mfuko.  Akifungua maadhimisho hayo Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa taifa wa hifadhi ya jamii (NSSF) nchini Masha Mshomba…

Read More

Mchuano wa maswali Lissu, shahidi wa Jamhuri

Dar es Salaam. Tundu Lissu, mshtakiwa katika kesi ya uhaini amechuana kwa maswali na shahidi wa kwanza wa Jamhuri, mchuano uliodumu kwa takribani saa sita. Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anakabiliwa na shtaka la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2)(d) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, linalotokana na maneno…

Read More

Hiki ndicho itakachoenda kukisimamia Tanzania COP30 Brazil

Dar es Salaam. Kusimamia kikamilifu ajenda ya nishati safi ya kupikia ya Watanzania wanne kati ya watano kufikia mwaka 2034, kutafuta rasilimali zaidi, nishati jadidifu, ni miongoni mwa ajenda itakazozisimamia Tanzania katika mkutano wa 30 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP30). Mkutano huo utakaofanyika jijini Belem nchini…

Read More

Eala yaridhia huduma bima ya afya kwa wote

Arusha. Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala) limeridhia azimio la kulitaka Baraza la Mawaziri na nchi wanachama wa Jumuiya hiyo kuharakisha mchakato wa kuwa na bima ya afya kwa wote, ili kuwa na jamii yenye watu wenye afya njema kwa lengo la kuongeza uzalishaji. Akiwasilisha hoja hiyo leo Jumanne, Oktoba 7,2025 katika mkutano wa…

Read More

Aisha auawa akiingilia kati ugomvi wa mumewe

Uganda. Mwanamke mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Aisha Masibu mkazi wa Nabuyonga nchini Uganda ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani, wakati akijaribu kuzuia ugomvi uliokuwa ukimuhusisha mume wake. Tukio hilo lilitokea jana Jumatatu Oktoba 6, 2025 katika eneo la Kikindu, ambako marehemu alikuwa akifanya biashara ya kuuza bidhaa sokoni. Kwa mujibu wa mashuhuda walionukuliwa…

Read More