WiLDAF TANZANIA NA GIZ WAENDESHA KAMBI MAALUM YA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI KUELEKEA KAMPENI YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
Mkurugenzi wa WiLDAF Tanzania, Anna Kulaya Dar es Salaam, 09 Oktoba 2025 Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF Tanzania) kwa kushirikiana na GIZ, wameendesha Kambi Maalum ya Mafunzo kwa Waandishi wa Habari kwa muda wa siku tatu, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea Kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa…