WiLDAF TANZANIA NA GIZ WAENDESHA KAMBI MAALUM YA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI KUELEKEA KAMPENI YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Mkurugenzi wa WiLDAF Tanzania, Anna Kulaya Dar es Salaam, 09 Oktoba 2025 Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF Tanzania) kwa kushirikiana na GIZ, wameendesha Kambi Maalum ya Mafunzo kwa Waandishi wa Habari kwa muda wa siku tatu, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea Kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa…

Read More

TANROADS NA MKANDARASI KUONDOA FOLENI MTO MZINGA

…………… Dar es Salaam, 09/10/2025 Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) na mkandarasi M/s STECOL Corporation ya China, kuanzia sasa watashirikiana kuyaondoa magari yatakayokuwa yameharibika kwenye barabara ya kuanzia eneo la Mbagala Rangitatu hadi Kongowe, ili kuepusha foleni za mara kwa mara. Meneja wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Alinanuswe Kyamba amesema kuharibika kwa…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu akili mnemba (AI) na Mabadiliko ya Tabianchi uliomalizika Oktoba 9,2025 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mshauri wa Rais wa katika masuala ya mazingira na Mwenyekiti wa Kundi la Afrika cha Majadiliano (AGN), Dk. Richard Muyungi. PICHA NA…

Read More

Mradi wa Graphite, yametimia | Mwananchi

Dar es Salaam. Tanzania ipo katika hatua za mwisho kuanza kunufaika na madini yake ya Graphite, baada ya Serikali kwa kushirikiana na wawekezaji, kuanza utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa madini hayo. Kwa mujibu wa Waziri wa Madini Anthony Mavunde, mradi huo wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 300 (zaidi ya Sh740.37 bilioni), utaiweka…

Read More

HUSSEIN JUMA SALUM: Turufu yake ya urais ni Zanzibar kuwa ya kilimo

Binadamu huota na hujibidisha kufanikisha ndoto. Anajitazama na kujenga matamanio ya jambo. Anatamani kuwa wa kada fulani inayomvutia kwenye maisha. Msemo wa “mipango si matumizi” hauna tofauti kubwa na “jitihada hazishindi kudra.” Unaweza kupanga, lakini mipango yako isishabihiane na matumizi. Unajitahidi, lakini jitihada zako zisikutane na kudra ambazo Mungu amekupangia. Hussein Juma Salum, mwanzoni mwa…

Read More