Wauzaji wa Chanjo Wafikiwa na TVLA

Zoezi hilo linafanyika kwa lengo la kubaini namna huduma za TVLA zinavyowafikia wateja, kusikiliza maoni ya wadau wanaosambaza bidhaa hizo, pamoja na kujadili njia bora za kuimarisha ubora na upatikanaji wa huduma. Akizungumza wakati wa ziara hiyo iliyofanyika tarehe 10 na 11 Oktoba 2025 katika mikoa ya Tabora na Shinyanga, Afisa Habari wa TVLA –…

Read More

MCHENGERWA AWAFUNDA VIONGOZI WAPYA WA UDART, DART

Na John Mapepele Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa leo amekutana na viongozi wapya wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na kuwataka kutatua mara moja changamoto ya usafiri wa jiji la Dar es Salaam na kuifanya historia. Viongozi hao wapya walioteuliwa hivi Karibuni…

Read More

Kiongozi Mbio za Mwenge azindua mradi wa maji Sh705 milioni

Mbeya. Kiongozi  wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ismail Ally Ussi  amesema ameridhishwa  utekelezaji  wa uboreshwaji  na upanuzi wa mradi  wa maji  Kata ya Ipinda Wilaya  ya Kyela Mkoa wa Mbeya,  huku akimtaja Waziri  wa Maji Jumaa Aweso kuiheshimisha Serikali. Mradi huo wenye thamani ya zaidi  ya Sh705 milioni  utakao hudumia wananchi  10,000 kwa…

Read More

VIDEO: Msisitizo wa amani watawala kuelekea uchaguzi

Dar/mikoani. Mjadala kuhusu utulivu wa kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 umeendelea kupewa uzito na viongozi kutoka nyanja mbalimbali nchini. Mada ya amani haijabaki kwenye mikutano ya kisiasa tu, imeingia ndani ya taasisi za kitaifa, vyombo vya dini, na hata kwenye maadhimisho ya kumbukumbu za Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Taasisi kadhaa…

Read More

VIDEO: Moto wateketeza vyumba 12 vya makazi ya watu Moshi

Moshi. Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vyumba 12 vya makazi ya watu pamoja na vyumba viwili vya biashara katika Mtaa wa Dar es Salaam Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Akizungumzia tukio hilo, Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema tukio hilo  limetokea leo Oktoba 11, 2025 na…

Read More

Moto wateketeza vyumba 12 vya makazi ya watu Moshi

Moshi. Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vyumba 12 vya makazi ya watu pamoja na vyumba viwili vya biashara katika Mtaa wa Dar es Salaam Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Akizungumzia tukio hilo, Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema tukio hilo  limetokea leo Oktoba 11, 2025 na…

Read More