TCAA YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KITOFAUTI

Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) inatumia fursa hiyo kusikiliza na kuhudumia wateja mbalimbali wanaofika katika ofisi zake, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuimarisha huduma bora na mahusiano mazuri na wadau wake. Maadhimisho haya ya kimataifa yanafanyika kila tarehe 6 hadi 10 Oktoba, yakilenga kuhimiza taasisi…

Read More

Wabunge wa EU watoa tamko kutekwa kwa Polepole

Dar es Salaam. Kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kumeendelea kuzua mjadala mpana, baada ya wabunge wa Umoja wa Ulaya (EU) kulaani tukio hilo na kulitaja kuwa la kutisha linalohitaji hatua za haraka. Katika taarifa iliyotolewa jana Oktoba 10, 2025, kwa pamoja na wabunge wa EU, Barry Andrews, Robert Biedrón, Udo…

Read More

Hekaya za Mlevi: Unawajua Wazungu Weusi? 

Dar es Salaam. Mwezi huu tunatimiza miaka ishirini na sita toka kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Leo nimeona niilete kwenu sehemu ya hotuba aliyoitoa mwaka 1962 wakati anaunda Wizara ya Sanaa ya Taifa na Vijana.  Ni miaka  sitini na tatu toka Mwalimu alipotoa  hotuba hii, Je, ndoto yake ilitimizwa na inaendelezwa?…

Read More

Junza wa tamthilia ya Mpali afariki dunia

Lusaka. Muigizaji maarufu kwenye tamthilia ya Mpali ya Zambia, maarufu kwa jina la Junza, aliyekuwa akiigiza kama mke mkubwa wa Nguzu, amefariki dunia. Kwa mujibu wa Televesheni ya Taifa ya Zambia, Junza Mabaye ambaye jina lake halisi ni Wanga Zulu, amefariki dunia Alhamisi Oktoba 9, 2025 katika Hospitali ya Mafunzo ya Levy Mwanawasa baada ya…

Read More

MAMLKA YA ELIMU TANZANIA YAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WADAU WA SEKTA YA ELIMU

Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakitonto iliyopo Wilayani Kasulu wakifanya mazoezi ya somo la Fizikia kwa vitendo kwenye maabara iliyokarabatiwa na UNICEF, kwa ufadhili wa Serikali ya Canada na kusimamiwa na TEA :::::::: Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imeendelea kuimarisha ushirikiano na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu katika jitihada za kuboresha miundombinu…

Read More