
TTCL YAFUNGA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KULA KEKI NA WATEJA
Baadhi ya wateja na maofisa wa TTCL wakifurahiya shapeni kwenye hafla ya kufunga Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025, yaliofanyika Ofisi za taasisi hiyo Tawi la Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Meneja wa Biashara Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL, Bw. Humphrey Ngowi akiwaongoza baadhi ya wateja kula keki kwenye hafla ya…