BALOZI MULAMULA – TUSICHEZEE AMANI, TUKEMEE KWA NGUVU ZOTE VIASHIRIA VYA VURUGU

::::::::: MJUMBE Maalum wa Umoja Wa Afrika kuhusu Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula amesisitiza wananchi kulinda amani kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Ameyasema hayo, katika mkutano wa Kampeni uliofanyika Jimbo la Kibamba, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam, huku akiwasisitiza wananchi kuwapigia kura wagombea wa CCM wakiongozwa…

Read More

DK.SAMIA :TUMEWEKA UTARATIBU MZURI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WANANCHI WILAYANI BUKOMBE

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita  MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Serikali imeamua kuweka utaratibu mzuri ambao umewezesha wananchi kushiriki uchimbqji madini katika Wilaya ya Bukombe mkoani Geita. Akizungumza katika nkutabo wa kampeni leo Oktoba 11,2025 mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Bukombe katika Uwanja…

Read More

Samia: Vijana msikubali kurubuniwa kuharibu amani ya nchi

Geita. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka vijana nchini kutokubali kurubuniwa kwa namna yoyote kuharibu amani ya Taifa, na badala yake amewataka wawe wazalendo na kuipenda nchi yao. Mbali na wito huo, mgombea huyo ametoa ahadi mbalimbali kwa wananchi katika Mkoa wa…

Read More

Sendeka: Wafanyabiashara  waliokosa zabuni serikalini ndio wanaoichafua Serikali

Arusha. Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amewataka Watanzania kuwapuuza watu wanaoeneza propaganda dhidi ya Serikali ya Rais   Samia Suluhu Hassan, akidai kuwa wengi wao ni wafanyabiashara waliokosa zabuni za Serikali. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili, Oktoba 12, 2025 jijini Arusha, Sendeka amesema baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa…

Read More

Mwalimu aahidi kurudisha hadhi ya Jiji la Dar es Salaam

Dar es Salaam. Mgombea urais kupitia Chama cha Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema endapo atachaguliwa kuongoza nchi, moja ya mambo ya awali atakayoyatekeleza ni kulirudishia Jiji la Dar es Salaam hadhi yake. Mwalimu ametoa ahadi hiyo leo Jumapili Oktoba 12, 2025 katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Makuti, Kata ya Magomeni, Wilaya ya Kinondoni,…

Read More