Haya hapa malezi yanayomjenga mtoto kihisia

Dodoma. Daniel Goleman, mwandishi wa kitabu cha Emotional Intelligence, aliwahi kusema, “Usipomsaidia mtoto kujenga umahiri wa kuelewa na kumudu hisia zake, unamwandaa kuwa mtu atakayepata shida kwenye uhusiano wake na watu. Malezi, kwa msingi huo, yanalenga kushughulika na hisia za mtoto.” Hapa ninakuletea njia tano za kujenga umahiri wa mtoto kumudu hisia zake. Wapo watoto…

Read More

JAMII YAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA

Na Mwandishi Wetu, West Kilimanjaro Jamii imetakiwa kushirikiana kikamilifu katika kudhibiti uharibifu wa mazingira ili kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi na kulinda urithi wa asili wa taifa. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dkt. Christopher Timbuka, wakati wa uzinduzi wa kampeni ya utunzaji wa mazingira “Go Green, Save Nature” uliofanyika katika…

Read More

Usaliti unatosha kuvunja ndoa yako?

Mwanza. “Nilianza kuona tabia za mume wangu zinabadilika. Alianza kuchelewa kurudi nyumbani, akikataa chakula mezani kwa madai kuwa ameshiba… wakati mwingine hata hakutafuna kajiwe kamoja. Si unajua sisi wa kipato cha chini, mchele wetu ni wa bei rahisi,” anasema Ziada Juma (jina si halisi), mama wa watoto watano kutoka Buhongwa, Mwanza, akisimulia jinsi alivyodumu katika…

Read More

Ndoa inavyoweza kuficha uasherati | Mwananchi

Canada. Leo tunachambua suala nyeti na tata yaani umalaya ndani ya ndoa. Kwa tafsiri rahisi, umalaya ni tendo la mtu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na watu mbalimbali kwa wakati mmoja kinyume na matarajio ya uaminifu wa ndoa. Hili, hata hivyo, halihusishi ndoa za mitala zinazokubalika kidini au kitamaduni. Makala haya yanalenga kuonyesha jinsi ndoa…

Read More

Unaongezaje ladha kwenye uhusiano wako?

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa uhusiano wa kimapenzi, kuna msemo wa Kiingereza usemao: “It takes two to tango” ukimaanisha kuwa mafanikio ya uhusiano wowote yanahitaji juhudi kutoka kwa pande zote mbili. Penzi halidumu kwa sababu ya mtu mmoja tu kujitahidi, bali kwa ushirikiano wa kweli kutoka kwa wapenzi wote. Kila mmoja anao wajibu wa…

Read More

Othman Masoud: Nitarudisha Michezo na Kutangaza Zanzibar Kimataifa

Zanzibar. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kufufua michezo yote visiwani humo na kuhakikisha Zanzibar inapata heshima kimataifa kupitia mafanikio ya wanamichezo wake. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Viwanja vya Kivumbi, Jimbo la Shauri Moyo, Othman alisema michezo ni nyenzo muhimu ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi,…

Read More

Wanawake wakijua siri hii, tumekwisha

Dar es Salaam. Alikuwapo jamaa mmoja, tumuite Samsoni. Samsoni alikuwa na mwili wa miraba minne kama anaishi gym. Alikuwa na maguvu sio kawaida. Samsoni alikuwa anaweza kuvuta mzigo wa tani moja peke yake. Samsoni alikuwa na maguvu kiasi kwamba vitani alikuwa na uwezo wa kupambana na jeshi zima la maadui na kuliangusha.  Samsoni aliogopeka  na…

Read More

TUJITOKEZE KUPIGA KURA, TUACHE PROPAGANDA ZISIZO NA MAANA

Na Emmanuel Mbatilo, Michuzi Tv- 0673956262 TUKIWA katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, kumekuwa na hali tofauti kutokana na kuibuka kwa makundi madogo ya watu ambao kwa kawaida hutumia nafasi za kisiasa kuchochea machafuko na kutisha amani ya nchi yetu. Tanzania, nchi huru na yenye haki kwa raia wake, haiwezi kuruhusu…

Read More