UJUMBE WA MGOMBEA URAIS DK.SAMIA KWA VIJANA AKIWATAKA KUHAKIKISHA WANAILINDA NCHI YAO
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewakumbusha vijana nchini kuwa nchi inayoitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ipo moja peke yake na tangu imeundwa imepigana vita moja na tu Idi Amin na kwa sababu aliichokoza. Amesema lakini kwa miaka yote nchi ipo salama, ina amani na…