VIWANDA VITATU VILIVYOSIMAMA UZALISHAJI VYAFUFULIWA TANGA

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah akikagua Mashine mpya katika Kiwanda kinachotarajiwa kuanza kazi Mwezi Januari cha Ply and Panel kinachomilikiwa na Bw. Hussen Moor, katika ziara yake ya kutembelea Viwanda hivyo vilivyopo mkoani Tanga, akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Bw. Rashid Mchatta, tarehe 13…

Read More

VICTORY ATTORNEYS LAUNCH 5TH EDITION OF NATIONAL MOOT COURT COMPETITION ON DIGITAL ASSET TAXATION

  The Victory Attorneys National Moot Court Committee proudly announces the 5th Edition of the Victory Attorneys National Moot Court Competition 2025, themed “Taxation of Digital Assets: Domestic, Regional and International Regulatory Frameworks.” This year’s competition will bring together law students from universities across Tanzania to explore the emerging legal and policy challenges surrounding digital…

Read More

TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA AFYA DUNIANI JIJINI BERLIN

:::::: Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bw. Ismail Rumatila unashiriki Kongamano la Afya la Dunia linalofanyika kwa siku tatu jijini Berlin, Ujerumani kuanzia Oktoba  12 hadi 14, 2025. Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Mhe. Hassani Mwamweta anashiriki kongamano hilo linalofanyika chini ya kaulimbiu “Kuchukua Jukumu la Afya katika…

Read More

Vodacom na safari ya heshima kwa Nyerere, umoja na maendeleo ya Tanzania

Dar es Salaam. Wakati Taifa linapoadhimisha kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwekeza katika watu na maendeleo endelevu kupitia safari ya baiskeli inayounganisha Watanzania kwa dhana ya umoja, huduma na matumaini. Kwa mwaka wa tatu mfululizo, Vodacom imekuwa mdau mkuu wa…

Read More

KIGOGO WA CHADEMA ATIMKIA CCM MBELE YA SAMIA

Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Viktoria,Ezekiel Wenje …………. CHATO  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya ziwa Viktoria, Ezekiel Wenje, ametangaza kukihama Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai ya kuvutiwa na misingi imara iliyowekwa kwaajili ya kulinda amani na utulivu wa nchi. Mbali na hilo,…

Read More

Mayanga apambana na mambo mawili

KOCHA Mkuu wa Mashujaa ya Kigoma, Salum Mayanga amefunguka namna timu yake imeyatumia mapumziko mafupi ya Ligi Kuu Bara kujipanga na mambo mawili kwenye kikosi chake. Akizungumza na Mwanaspoti Mayanga amesema wakati huu wa mapumziko ya ligi kupisha mechi za Kimataifa za Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), timu yake imeyatumia kujipanga na…

Read More