MCHENGERWA AMWOMBEA KURA RAIS KWA WANARUFIJI, ASISITIZA UJENZI WA BARABARA MLOKA- MKONGO.

Na Yohana Kidaga- Kipugira Mgombea wa Ubunge jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa amesema endapo wananchi watampa ridhaa ya kumchagua tena katika kipindi hiki atakwenda kusimamia maendeleo ya wananchi wa Jimbo hili, huku akimwombea kura Mhe Rais Samia. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya wananchi katika kata ya Kipugira Mhe. Mchengerwa amesema katika…

Read More

Straika Fountain Gate atangaza vita mpya

MSHAMBULIAJI wa Fountain Gate, Joshua Ibrahim, amesema baada ya kutoonekana tangu msimu huu umeanza kutokana na matatizo mbalimbali, kwa sasa mashabiki wake watarajie mambo mazuri, kwa sababu amejipanga vizuri ili kuendeleza kiwango chake. Akizungumza na Mwanaspoti, Joshua amesema baada ya majeraha mbalimbali aliyopitia, kwa sasa yupo fiti kukitumikia kikosi hicho kwa mechi zijazo, licha ya…

Read More

Pantev auona mwanga Simba, ashtukia jambo kimataifa

KIKOSI cha Simba, jana (Jumapili) kilikuwa kwenye mwendelezo wa maandalizi yake ya kimataifa kwa kucheza mechi ya kirafiki ya pili dhidi ya Al Hilal Omdurman ya Sudan, kwenye Viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam, ukiwa mchezo wa pili wa kirafiki tangu Dimitar Pantev akabidhiwe timu hiyo. Mechi hiyo ilikuwa sehemu ya programu maalumu ya…

Read More

Lissu alipoishia kuchuana na Jamhuri, kuanzia hapo leo

Dar es Salaam: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Oktoba 13, 2025 inaendelea kuunguruma Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, baada ya mapumziko ya mwisho wa Juma. Katika mwendelezo huo wa usikilizwaji kesi hiyo leo Mahakama hiyo itatoa  uamuzi wa pingamizi la Jamhuri dhidi ya…

Read More