
VIJANA WATAKIWA KUCHAGUA VIONGOZI WANAOWEZA KUTIMIZA MATARAJIO YAO
::::::: Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na watu Wenye Ulemavu, Bi. Mary Maganga, amewataka vijana kote nchini Tanzania kutumia haki yao ya Kikatiba ya kupiga kura kwa kuchagua viongozi wanaoakisi matumaini, malengo na ndoto za taifa la Tanzania katika kipindi cha mitano ijayo. Walakati wa ufunguzi wa…