Taifa Stars, Iran heshima inasakwa Dubai

BAADA ya kupoteza mechi iliyopita dhidi ya Zambia kuwania nafasi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026, Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ itashuka dimbani leo Jumanne kucheza mechi ya kimataifa ya kirafiki na Iran kwenye Uwanja wa Shabab Al Ahli, Dubai, Falme za Kiarabu. Hii itakuwa mara ya kwanza kwa mataifa hayo kukutana ambapo kwa mujibu…

Read More

Huyu ndiye Patrick Mabedi, msaidizi mpya wa Folz Yanga

KLABU ya Yanga, leo Oktoba 13, 2025 imemtambulisha Patrick Mabedi kuwa kocha msaidizi wa timu hiyo chini ya Mjerumani, Romain Folz. Mabedi ametua Yanga kuchukua nafasi ya Manu Rodriguez, aliyewasilisha barua ya kuomba kuvunja mkataba wake kufuatia kupata changamoto ya kiafya. Patrick Mabedi amezaliwa Novemba 5, 1973, mwaka huu anatimiza miaka 52. Huyu ni kocha…

Read More

Kuongoza uwekezaji wa hatari ya kupunguza hatari kupitia zana zenye nguvu za AI-maswala ya ulimwengu

Mpanda farasi wa tatu alikuwa akipitia eneo lenye mafuriko huko Kolkata, India.Teknolojia ya AI itawezesha majibu bora ya janga na serikali na jamii za wenyeji. Mikopo: Pexels/Dibakar Roy Maoni Na Kareff Rafisura, Sheryl Rose Reyes na Natdanai punsin (Bangkok, Thailand) Jumatatu, Oktoba 13, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bangkok, Thailand, Oktoba 13 (IPS) –…

Read More