Vizuizi vipya vya mtandao wa Taliban huweka Afghanistan nje ya uangalizi wa ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Ingawa ufikiaji umerudi, vizuizi vya kuzidisha na jukwaa huendelea, kuonyesha vizuizi vya mtandao vilivyoimarishwa nchini kote. Mikopo: Kujifunza pamoja. na chanzo cha nje (Kabul) Jumanne, Oktoba 14, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KABUL, Oktoba 14 (IPS)-Mwisho wa Septemba, Taliban ilikata ghafla Wi-Fi na mtandao wa fiber-optic nchini Afghanistan kwa masaa 48 bila maelezo yoyote….

Read More

MRADI WA UTAFITI WA UCHIMBAJI MAFUTA NA GESI WAFIKIA PAZURI

Na.Ashura Mohamed-Karatu  Naibu katibu Mkuu wizara ya Nishati bw.Dkt.James Mataragio  ameridhishwa na kasi ya  mradi  mradi wa utafutaji mafuta na gesi asilia kitalu cha EYAS WEMBERE kilichopo karatu mkoani  Arusha. Ziara hiyo ya Naibu katibu mkuu inaeleza kuwa  mradi huo ambao ni mkakati maalum wa serikali ya Awamu ya sita na pia unatajwa iwapo utakamilika…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Hizi zingekuwa agenda za Nyerere Uchaguzi Mkuu 2025

Kutoka Oktoba 14, 1999 hadi ilipofika jana, Oktoba 14, 2025, ilitimia miaka 26 bila Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Naikumbuka ile siku, mchana, aliyekuwa Rais wa Tanzania, Benjamin Mkapa, alililiza taifa. “Nasikitika kuwatangazia kwamba mpendwa wetu, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, amefariki dunia. Mwalimu ameaga dunia hii leo saa 4:30 asubuhi…

Read More

Aliyoahidi Samia kuchochea uchumi wa Kanda ya Ziwa

Bukoba. Katika kampeni zake Kanda ya Ziwa, mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ametoa ahadi kadhaa zinazolenga kuchochea uchumi na biashara. Samia ametoa ahadi hizo katika mikoa ya Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu na Mara, akitilia mkazo ujenzi wa viwanda, kuboresha miundombinu ya usafiri, kuendeleza…

Read More

Wazazi, ndugu watajwa chanzo unyanyasaji wa watoto

Dodoma. Wazazi, walezi na ndugu wa karibu wametajwa kuwa chanzo kikuu cha matukio ya ubakaji, ulawiti na vitendo vya ukatili vinavyowakumba watoto huku wengi wakishindwa kueleza ukweli hata wanapobaini matukio hayo. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne, Oktoba 14, 2025, na Meneja wa Makao ya Taifa ya Watoto Kikombo jijini Dodoma, Darius Kalijongo wakati akizungumza na…

Read More