Mahakama yakataa ombi la ushahidi wa mdomo kesi ya Polepole

Dar es Salaam. Mahakama imekataa kuridhia kupokea ushahidi wa mdomo wa Christina Polepole, ambaye ni dada wa Humphrey, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba. Mawakili wake waliwasilisha maombi hayo Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam leo Oktoba 15, 2025 wakati shauri lilipoitwa kwa ajili ya usikilizwaji. Shauri hilo la maombi namba 24514/2025 linalosikilizwa na…

Read More

FCC INA MCHANGO MKUBWA KUKUZA VIWANDA NCHINI

  Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah,akizungumza  wakati akifungua Semina ya Uhamasishaji wa Masuala ya Ushindani, Kumlinda Mlaji na Udhibiti wa Bidhaa Bandia iliyofanyika leo Oktoba 15,2025 katika ukumbi wa The New Kiboko, jijini Tanga. Na.Mwandishi Wetu-Tanga Katibu Mkuu Wizara ya  Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah  amesisitiza kuwa dhamira ya…

Read More

Halmashauri Mbeya kinara utekelezaji miradi ya maendeleo, sababu zatajwa

Mbeya. Ubunifu, uwajibikaji mshikamano wa kiutendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, vimetajwa kuwezesha halmashauri hiyo kuibuka kinara kikanda kupitia miradi mitano iliyokaguliwa kwenye mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2025. Mwenge wa Uhuru kitaifa uliwasili Mkoa Mbeya Oktoba 7, 2025 ambapo katika Halmashauri ya Mbeya ulikagua miradi mitano yenye thamani ya Sh1.3 bilioni. Miongoni…

Read More

MTAALAMU WA LISHE HANDENI AFICHUA SIRI YA MAKUNDI SITA YA CHAKULA BORA

  HANDENI-TC Afisa Lishe wa Halmashauri ya Mji Handeni, mkoani Tanga, Esther Herman, ametoa wito kwa wananchi kuzingatia ulaji wa chakula bora kinachojumuisha makundi sita muhimu ili kuepuka magonjwa yatokanayo na lishe duni. Akizungumza katika Maonesho ya Wiki ya Chakula Duniani yanayofanyika kitaifa jijini Tanga, chini ya kaulimbiu “Tuungane pamoja kupata chakula bora kwa maisha…

Read More

Gombo aahidi kupambana na wasiojulikana,

Mbeya. Mgombea Urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amesema iwapo atapata ridhaa ya kuwa rais, ataunda tume ya kuchunguza kundi linalojiita ‘Wasiojulikana’ na kukomesha vitendo vya utekaji na mauaji. Akizungumza leo Jumatano Oktoba 15, 2025 katika mkutano wake wa kampeni jjini hapa, Gombo amesema hawezi kukubali maisha hayo akieleza kuwa anaenda kushughulikia…

Read More