
Kishindo kampeni za lala salama
Dar es Salaam. Safari ya kunadi sera na kuomba ridhaa kwa Watanzania ili watoe nafasi kwa mgombea mmoja kati ya 18 wa urais kuiongoza Tanzania, imefika hatua za lala salama, baada ya kusalia siku 13. Hatua hiyo, imefikiwa baada ya wagombea wa nafasi hiyo, kutumia siku 47 kunadi sera na kuomba ridhaa kwa Watanzania kupitia…