October 16, 2025
RC CHALAMILA AIPONGEZA TANESCO KWA KUIMARISHA HUDUMA YA UMEME
::::::::: Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya miradi ya umeme katika Jiji la Dar es Salaam ambapo ameipongeza TANESCO kwa kuendelea kuimarisha huduma ya upatikanaji wa umeme ambayo imekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kiuchumi na kijamii….
YAS ZANZIBAR MARATHON 2025 KUFANYIKA NOVEMBA 23
:::::::::: Na Mwandishi Wetu Kampuni ya mawasiliano ya YAS kwa kushirikiana na Mixx, imezindua rasmi maandalizi ya mbio za Yas Zanzibar International Marathon 2025. Mbio hizo zinatarajiwa kufanyika Novemba 23, visiwani Zanzibar, zikiongozwa na kauli mbiu isemayo “Kila Hatua ni Special.” Meneja wa Mawasiliano YAS, Bi. Christina Murimi, amesema lengo kuu ni kuhamasisha afya, utalii…
Ukweli usioepukika Waisraeli lazima wakabiliane – maswala ya ulimwengu
Mkutano Mkuu wa UN unasisitiza Azimio la New York juu ya suluhisho la serikali mbili kati ya Israeli na Palestina. 12 Septemba 2025. Mkopo: Picha ya UN/Loey Felipe Maoni na Alon Ben-meir (New York) Alhamisi, Oktoba 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Oktoba 16 (IPS)-Makubaliano ya kusitisha mapigano na kutolewa kwa mateka…
DKT.SERERA:SERIKALI ITAENDELEA KUISAIDIA FCC KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA UDHIBITI WA BIDHAA BANDIA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Serera,akizungumza leo, Oktoba 16, 2025, wakati wa ziara ya pamoja kati ya Menejimenti ya FCC na Wizara ya Viwanda na Biashara katika Kituo cha Forodha cha Horohoro kilichopo mpakani mwa Tanzania na Kenya, muda mfupi baada ya kutembelea Bandari ya Tanga. Na.Mwandishi Wetu Naibu…
Benki ya CRDB yajitosa kusaidia wawekezaji Afrika Mashariki
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Profesa Neema Mori amesema benki hiyo imejipanga kikamilifu kuwa mshirika wa wawekezaji wanaotaka kuchangamkia fursa za kiuchumi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Uwekezaji huo utakuwa hususani nchini Tanzania, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambako benki hiyo inaendesha shughuli zake. Akizungumza…
MNDEME AELEZA AJENDA ZA MAENDELEO KWA MAKUNDI MBALIMBALI MJIMWEMA KIGAMBONI
………………. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Wakili Mwanaisha Mndeme, amefanya kikao cha ndani na wakazi wa Mjimwema ikiwa ni sehemu ya kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba 2025 Katika kikao hicho, Mndeme alikutana na makundi mbalimbali ya kijamii wakiwemo mama lishe, wajasiriamali, waendesha bodaboda pamoja na…
TEA, UNICEF NA MAPINDUZI YA SAYANSI MASHULENI – SONGWE.
Na Mwandishi Wetu, Songwe Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) wameendelea kufanya mapinduzi makubwa katika kuinua ubora wa elimu nchini, hususan katika masomo ya sayansi. Hatua hii ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano maalum yaliyosainiwa kati ya pande hizo mbili, yakilenga kuboresha miundombinu ya…
DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA ZAONEKANA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA
…………………….. 📍 Utafiti wa kina unaendelea katika Kitalu cha Lindi–Mtwara 📍 Dkt. Mataragio akagua maendeleo ya mradi, aagiza ukamilike kwa wakati 📍 Akagua pia mradi wa kuongeza uzalishaji wa gesi katika kitalu cha Mnazi Bay 📍 RC Mtwara asema Gesi Asilia ni kichocheo cha wawekezaji 📍 Mwenyekiti Kijiji cha Mwanamawa ataja faida za mradi kwa…
UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Mtazamo kupiga kura kishabiki, bendera fuata upepo
Kama wengi wetu tunavyofahamu, Oktoba 29,2025 ndio siku ambayo taifa letu litafanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani lakini natamani wale wenye sifa ya kupiga kura, tusipige kura kwa ushabiki ama bendera fuata upepo. Ibara ya 5(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inasema kila raia wa Tanzania aliyetimiza…