Kishindo kampeni za lala salama

Dar es Salaam. Safari ya kunadi sera na kuomba ridhaa kwa Watanzania ili watoe nafasi kwa mgombea mmoja kati ya 18 wa urais kuiongoza Tanzania, imefika hatua za lala salama, baada ya kusalia siku 13. Hatua hiyo, imefikiwa baada ya wagombea wa nafasi hiyo, kutumia siku 47 kunadi sera na kuomba ridhaa kwa Watanzania kupitia…

Read More

Uwezekano wa kulipa nauli kidijitali kwenye daladala

Fikiria unapanda daladala bila kuhangaika kutafuta chenji, bila wasiwasi kama konda amekurudishia pesa yako au la, wala hofu ya kukabidhiwa noti bandia. Hakuna foleni ya kulipa, na safari inaendelea kwa utulivu bila usumbufu. Malipo yanafanyika papo hapo kwa njia ya kidijitali haraka, salama, na kwa uwazi. Ni ndoto lakini inayoweza kufikiwa kama mustakabali katika kuboresha…

Read More

Hifadhi ya dhahabu yaipiku Euro ikizidi kuteteresha Dola

Mwamko mkubwa wa Benki Kuu duniani kununua dhahabu kumeyafanya madini hayo kuwa ya pili miongoni mwa rasilimali kubwa zilizohifadhiwa hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya Benki Kuu ya Ulaya (ECB) iliyotolewa Juni mwaka huu. Hata hivyo, wachambuzi wanasema baadhi ya taasisi zinaonekana kuwa karibu kufikia kiwango cha kutosheka. Kiwango cha dhahabu kinachomilikiwa na Benki…

Read More

Umuhimu wa bajeti katika mipango binafsi

Katika mazingira ya sasa yenye hali ya kiuchumi isiyo tulivu, kupanga bajeti na mipango ya kifedha si jambo la hiari tena bali ni muhimu sana kwa yeyote anayetaka kuwa na uthabiti wa kifedha wa muda mrefu. Bajeti ni mpango wa matumizi ya kipato chako. Inakusaidia kugawa mapato yako kwenye matumizi ya kila siku, akiba, na…

Read More

Kupunguzwa kwa ufadhili wa kibinadamu kusukuma mamilioni kwenye njaa: WFP – Maswala ya Ulimwenguni

Programu nchini Afghanistan, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Haiti, Somalia, Sudani Kusini na Sudani tayari zinakabiliwa na usumbufu mkubwa, ambao utazidi kuwa mbaya. “Kila kukatwa kwa chakula kunamaanisha mtoto huenda kulala na njaa, mama huruka chakula, au familia inapoteza msaada wanaohitaji kuishi” AlisemaWFP Mkurugenzi Mtendaji Cindy McCain. Rekodi njaa, bajeti iliyopunguzwa Mgogoro huo unafanyika…

Read More