MGOMBEA UBUNGE ATINGA SOKO LA BUSERESERE KUOMBA KURA

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato Kusini(Kushoto) akizungumza na mawakala wa usafirishaji stendi ya mabasi Buseresere na kulia ni mgombea Udiwani wa kata hiyo,Mange Samwel. ………………… CHATO MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chato kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paschal Lutandula, amewatembelea wafanyabiashara wa soko la nafaka na chakula kwenye mji mdogo wa Buseresere wilayani…

Read More

MVUA ZA MSIMU KUTAWALIWA NA UKAVU – TMA

:::::::::::  Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza mwelekeo wa mvua za msimu wa Novemba 2025 hadi Aprili 2026 kwa maeneo yanayopata msimu mmoja wa mvua kwa mwaka, ikidai kuwa msimu huo utatawaliwa na vipindi virefu vya ukavu pamoja na mtawanyiko wa mvua usioridhisha katika maeneo mengi. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk. Ladislaus…

Read More

Chuo Kikuu Mzumbe chapokea msaada wa vitabu kutoka ACCA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Chuo Kikuu Mzumbe kimepokea vitabu 69 vya kufundishia na kujifunzia kutoka Association of Chartered Certified Accountants (ACCA) kupitia ofisi yake ya Tanzania. Vitabu hivyo vinahusu masomo ya uhasibu na fedha, na vinatarajiwa kusaidia walimu na wanafunzi katika kukuza maarifa ya kitaaluma na kiutendaji, hususan katika maeneo yanayohusiana na ushughulikiaji wa…

Read More