Ibenge ampa mzuka Fei Toto

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, amesema kufundishwa na Kocha, Mkongomani, Florent Ibenge ni hatua kubwa kwa timu hiyo kufikia malengo iliyojiwekea hasa michuano ya kimataifa. Nyota huyo amezungumza hayo wakati kikosi cha Azam kikikabiliwa na mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya…

Read More

Makocha KMKM, Azam FC watambiana

WAKATI presha ya mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya KMKM na Azam FC ikipanda, makocha wa timu zote wametambiana kabla ya pambano hilo. Mechi hiyo itakayopigwa kesho Jumamosi Oktoba 18, 2025 saa 10:15, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar, inavuta hisia kubwa kutokana na timu…

Read More

Mtoto wa Odinga asimulia mauti yalivyomfika baba yake India

Mtoto mkubwa wa Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Winnie Odinga, ameelezea namna kifo cha baba yake, marehemu Raila Odinga kilivyotokea akibainisha kuwa hakikuwa kama kinavyoelezwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Ijumaa, Oktoba 17, 2025, katika shughuli ya kitaifa ya kuaga mwili wa marehemu Raila Odinga inayofanyika katika Uwanja wa…

Read More

BoT yakanusha kuchapisha fedha kugharamia uchaguzi

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa taasisi hiyo imechapisha fedha na kuzisambaza kwa ajili ya kugharamia uchaguzi mkuu, ikieleza kuwa madai hayo hayana ukweli wowote, ni upotoshaji unaolenga kupotosha umma. Aidha, katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Ijumaa, Oktoba 17, 2025, na kusainiwa na…

Read More

Zanzibar International Marathon ni Novemba 23

MASHINDANO ya kukimbia yaliyopewa jina la Yas Zanzibar International Marathon yamepangwa kufanyika Novemba 23 Novemba 2025 yakiwa na kauli mbiu ya “Kila Hatua ni Special.” Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mashindano hayo, Meneja Mawasiliano na Uhusiano YAS, Christina Murimi, amesisitiza umuhimu wa mbio hizi katika kuhamasisha afya, utalii, na maendeleo ya jamii kupitia teknolojia…

Read More

Namna ya kuwafariji wafiwa katika Uislamu

Uislamu ni dini ya ulimwengu wote, inayojumuisha nyanja zote za maisha ya mwanadamu. Uislamu ni imani, sharia na mfumo kamili wa maisha, unaozingatia mambo ya Kidunia na ya Akhera bila kuacha pengo lolote. Allah Mtukufu amesema.  ”Na tumekuteremshia Kitabu hiki kinachobainisha kila kitu..” (16:89).Uislamu umeweka mwongozo wa wazi, umebainisha njia ya uongofu, na kutofautisha baina…

Read More

Prediabetes ni kengele ya onyo kwa afya yako

Dar es Salaam. Prediabetes ni hali ya awali ambayo inaashiria kuna hatari ya kupata ugonjwa wa kisukari aina ya pili. Katika kipindi hiki, kiwango cha sukari huwa juu ila sio juu kiasi cha kufanya uwe mgonjwa wa kisukari. Prediabetes ni ishara ya onyo kuwa mwili unashindwa kudhibiti sukari kwa usahihi, na ikiwa haitadhibitiwa, inaweza kuwa…

Read More