Jeshi la Polisi lafafanua madai ya Godbless Lema kuhusu usalama wake – Video – Global Publishers

Msemaji wa Polisi, DCP David Misime Jeshi la Polisi Tanzania limetoa kauli kufuatia taarifa zilizotolewa na mwanasiasa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, kupitia mitandao ya kijamii akidai kuwa usalama wake upo hatarini. Kupitia taarifa yake kwa umma iliyotolewa Oktoba 17, 2025, kutoka Makao Makuu ya Jeshi…

Read More

Simulizi vijana wanne walivyotoweka Dar, miili yao kuokotwa Pwani

Dar/Kibaha. Ulikuwa usiku wa kawaida kwa vijana wanne marafiki walioishi nyumba moja, wakiwa katika chumba cha mmoja wao wakipiga soga. Madereva hawa watatu wa pikipiki maarufu bodaboda na mwezao anayeendesha bajaji, baada ya kazi ya kutwa nzima, walikuwa wakisubiri mke wa mwenzao awaandalie chakula. Ghafla lilitokea jambo lililobadili furaha ya usiku huo, pale mlango ulipogongwa…

Read More