Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

KOCHA Mkuu wa KMKM, Hababuu Ali, amesema licha ya kupoteza mechi ya kwanza kwa kuchapwa mabao 2-0 dhidi ya Azam, ila hajakata tamaa wakati miamba hiyo itakaporudiana Oktoba 24, 2025 kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam. Katika mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika iliyopigwa leo…

Read More

Ibenge awakomalia mastaa Azam FC

LICHA ya Azam kushinda mabao 2-0 katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya KMKM, ila kocha wa timu hiyo raia wa DR Congo, Florent Ibenge, amesema hajabweteka na ushindi huo, hivyo bado ana kazi kubwa ya kufanya katika marudiano. Katika mechi hiyo iliyopigwa leo Oktoba 18, 2025…

Read More

COSTECH Yasisitiza Ulinzi wa Bunifu Kabla ya Kubiasharisha

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imesisitiza umuhimu wa wabunifu kulinda bunifu zao kabla ya kuziingiza sokoni, kwa lengo la kulinda haki zao, kuongeza thamani ya bunifu hizo na kuhakikisha zinachangia maendeleo ya kiuchumi nchini. Kauli hiyo imetolewa jana Oktoba 17,2025 na Dkt. Erasto Mlyuka, Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uendelezaji na Uhawilishaji…

Read More

Apoteza maisha baada ya kulipukiwa na mtungi wa gesi

Bagamoyo. Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kupigwa kipande cha mtungi wa gesi uliolipuka katika eneo la Masiwa, Kata ya Dunda, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Tukio hilo lilitokea leo Jumamosi Oktoba 18, 2025 saa 11:30 wakati kijana mmoja, Musa Rashid (19), mkazi wa Masiwa, anayejihusisha na ukusanyaji wa vyuma chakavu, alipokuwa akigonga kifuniko cha…

Read More

CCM yajipanga kuinua uchumi, biashara Nkasi

Rukwa. Ujenzi wa stendi mpya na soko la kisasa eneo la Namanyere, ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa viwango vya changarawe na lami, kulinda stahiki za wakulima na ujenzi wa minada mitatu ya mazao, ni miongoni mwa ahadi za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, kikilenga kuinua uchumi na biashara. Ahadi…

Read More

Vodacom Tanzania kupitia VTV yazindua filamu ya “NIKO SAWA” inayochochea mazungumzo muhimu kuhusu afya ya akili

Vodacom Tanzania PLC imetangaza uzinduzi wa filamu ya “NIKO SAWA”, filamu ya kipekee ya Kitanzania inayopatikanaw kupitia VTV, programu inayokuwezesha kuangalia tamthilia na filamu mbalimbali kwa njia ya mtandao. Hafla ya uzinduzi wa filamu hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Cinema wa Mlimani City, ikiashiria hatua muhimu katika safari ya Vodacom ya kuwaunganisha Watanzania kupitia…

Read More