
Padre Aliyepotea Apatikana Akiwa Hai Mkoani Ruvuma – Video – Global Publishers
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limethibitisha kumpata Padre Camillus Nikata, wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) – Mwanza, baada ya kuripotiwa kupotea tangu Oktoba 9, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Kamishna Msaidizi…