JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na jumla ya vipande 23 vya meno
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha askari wa Wanyamapori ilioyofanyika wilaya ya Kilombero na Mvomero ikiwa ni mikakati ya Jeshi hilo kuimarisha ulinzi. Taarifa ya leo Oktoba 19, 2025 iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Alex…