
Yanga Yamtimua Kocha Romain Folz Baada ya Kichapo Malawi – Video – Global Publishers
Last updated Oct 19, 2025 Klabu ya Young Africans Sc imetangaza kuvunja mkataba wa Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz ikiwa masaa kadhaa baada ya klabu hiyo kupokea kichapo cha 1-0 dhidi ya Silver Striker Fc ya Malawi kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya pili ya…