Wahitimu wa St. Mary’s Watakiwa Kujiamini na Kuthubutu Kufikia Mafanikio”
MTHIBITI Ubora wa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, Paschalina Herman Msofeo amewataka wahitimu wa Kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari St. Mary’s kutambua kuwa safari ya mafanikio yao katika elimu na maisha bado inaendelea, huku akisisitiza umuhimu wa kujiamini, kufanya kazi kwa bidii na kumtanguliza Mungu katika kila hatua. Akizungumza jijini Dar es Salaam…