Nabi ataja mambo mawili ya kocha mpya Yanga

UONGOZI wa Yanga umeanza upya mchakato wa kutafuta kocha wa timu hiyo baada ya kufunga uwezekano wa kumchukua kocha Romuald Rakotondrabe ‘Roro’ aliyekuwa anakaribia kutua katika timu hiyo, huku Nasreddine Nabi akitia mkono. Uamuzi huo unakuja baada ya Yanga kuachana na aliyekuwa kocha wao Romain Folz, baada ya timu hiyo kupoteza mechi ya kwanza msimu…

Read More

Mtoto wa Mjini – 6

WALIPOINGIA ndani ya kituo cha polisi, mzee Manyara, mzee Mangushi na Bi Faudhia walitakiwa kuandikisha maelezo na walianza kuhojiwa upya baada ya kila mmoja wao kukabidhiwa kwa askari wa kufanya naye mahojiano.Kila mmoja alihojiwa jinsi alivyokuwa akimfahamu Muddy na kutoa maelezo yake ya kina, pia kueleza siku ya mwisho kuonana naye.Kabla ya kumaliza mahojiano hayo,…

Read More

Jamhuri kumjibu Lissu pingamizi video ya hotuba yake

‎‎Dar es Salaam. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu leo inaendelea kuunguruma  Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam baada ya mapumziko ya mwisho wa juma. Katika mwendelezo wa usikilizwaji wa kesi hiyo, leo Jumatatu Oktoba 20, 2025, Jamhuri inaanza kujibu hoja za pingamizi la Lissu kuhusiana…

Read More