Miji ya ubunifu inavyoweza kuiendeleza Tanzania

Kila siku, jua linachomoza mashariki na kuangazia nchi yetu ya Tanzania, ukwasi ambao tumezoea kuuona kwa kilimo, utalii na rasilimali asili. Lakini leo, kuna mwangaza mwingine unaochomoza ule wa skrini za kompyuta, ujanja wa kiteknolojia na nguvu ya ubunifu wa kifedha. Huu ndio mwangaza wa “Silicon Savannah,” dhana ambayo inaweza kuwa msingi wa mafanikio ya…

Read More

Umuhimu wa kuwa na mfuko wa dharura

Mfuko wa dharura ni akiba ya fedha inayowekwa kando mahsusi kwa ajili ya kukabiliana na matukio yasiyotazamiwa katika maisha. Hii ni pesa ambayo haitumiki kwa matumizi ya kawaida kama ununuzi, starehe au likizo, bali ni fedha maalum inayolenga kukusaidia pale unapokumbwa na changamoto zisizopangwa kama ugonjwa, kupoteza kazi, ajali, au gharama nyingine za ghafla. Mfuko…

Read More