TGNP NA UNWOMEN WAWEZESHA MAGEUZI YA KIJAMII GONGO LA MBOTO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAWAKE wa Kata ya Gongo la Mboto wamehamasishwa kushiriki katika nafasi za uongozi na kujiimarisha kiuchumi kupitia Kituo cha Taarifa na Maarifa (KC) baada ya kufanya tathimini ya mradi wa Women’s Leadership and Economic Rights (WLER) unaoratibiwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na UNWOMEN Akizungumza na waandishi…

Read More

Mwalimu atua kwa Mpina, apokea malalamiko bei ya mazao

Meatu. Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, ametua katika Jimbo la Kisesa, Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, jimbo lililowahi kuongozwa na Luhanga Mpina. Akiwa katika mkutano wake, wananchi wamemwomba kwamba iwapo atachaguliwa kuwa Rais, achukue hatua za haraka kushughulikia kuporomoka kwa bei ya mazao ya choroko, mbaazi na pamba, hali…

Read More

Mzimu wa ajali waliibua kanisa Katoliki Same

Same. Askofu wa Jimbo Katoliki Same, Rogatius Kimaryo amewaongoza waumini wa kanisa hilo katika ibada maalumu kuombea barabara kuu ya Dar es Salaam–Same–Mwanga–Arusha, kutokana na uwepo wa ajali zinazogharimu maisha ya watu. Mbali ya ibada hiyo, kanisa limeweka wakfu eneo maalumu katika Kata ya Njoro, kutakakojengwa Groto ya Bikira Maria kwa ajili ya sala na…

Read More

Yanga yashusha makocha wapya watatu kwa mpigo

SAA chache baada ya Rais wa Klabu ya Yanga kuthibitisha kuwa usiku huu wanatangaza kocha mkuu wa klabu hiyo, Mwanaspoti limenasa jina lake. Yanga tayari imemalizana na makocha watatu ambao muda wowote kuanzia sasa watatambulishwa ndani ya timu hiyo ambao ni kocha mkuu, kocha msaidizi na kocha wa makipa. Mwanaspoti limenasa majina ya makocha hao…

Read More

Chaumma yaahidi kuharakisha bandari ya Bagamoyo kuinua uchumi

Bagamoyo. Mgombea mwenza wa urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amefanya mkutano wa hadhara katika soko la Magomeni, Bagamoyo, mkoani Pwani akiahidi kufufua mradi wa Bandari ya Bagamoyo uliokwama kwa miaka mingi. Akihutubia wananchi waliokusanyika kusikiliza sera za chama hicho, mgombea mwenza huyo amesema kuwa bandari hiyo ni injini…

Read More

Wenje amesema kuhamia CCM hakumpotezei sifa

Bunda. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ezekiah Wenje, amewataka wananchi kuondoa dhana kwamba mtu anapohama kutoka vyama vya upinzani, hususan Chadema, na kujiunga na CCM, anapoteza sifa zote nzuri alizokuwa nazo kabla ya kuhama. Wenje ameyasema hayo mjini Bunda leo Oktoba 2025, wakati wa kufunga kampeni za CCM, ambapo pamoja na mambo mengine, ametumia…

Read More