Pesa Kubwa Ipo Kwenye Mechi za Leo na Meridianbet – Global Publishers
Last updated Oct 24, 2025 Mtanange wa kutosha upo kwenye mechi za Ijumaa ya leo ambapo West Ham, Sevilla, Paris na wengine kibao wakiwa dimbani kusakata kabumbu kwaajili ya pointi 3 za maana kabisa. Unangoja nini kupiga pesa leo? SERIE A kule Italia nako itaendelea ambapo vijana wa Allegri AC Milan watakuwa San Siro…