Ameolewa ananilazimisha nitembee naye | Mwananchi

Nilikuwa na uhusiano wa mapenzi na binti mmoja kwa miaka kadhaa kabla ya kuachana na kila mmoja kushika njia yake. Baadaye mimi nilioa na nimebahatika kupata watoto wawili, mwenzangu pia nilikuja kujua alishaolewa na ana mtoto mmoja. Jambo la ajabu ambalo linaniweka njia panda ni huyu mwenzangu kuniganda kuendeleze uhusiano wetu akidai wakati huu tumekuwa…

Read More

Kocha Fountain Gate afariki dunia

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Noah Kanyanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 26, 2025 jijini Dodoma baada ya kuugua ghafla. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari wa Fountain Gate, Issa Liponda ‘Mbuzi’ amesema Kanyanga alikuwa na changamoto ya kiafya muda mrefu iliyomsababishia kuugua ghafla na alipopelekwa hospitali usiku akafariki. Mbuzi ameongeza kuwa taratibu…

Read More

Kocha: Hivi ndivyo Small Simba ilivyoanguka

NI miaka 24 sasa tangu Small Simba ya Zanzibar ipotee katika ramani ya soka la kiushindani, ambapo timu hiyo yenye rekodi na mafanikio makubwa ilianzishwa mtaani ikijulikana kwa jina la ‘Sunderland’, kisha baadaye kubadilishwa. Timu hiyo ilipiga hatua zaidi miaka ya 1970–1980, ambapo mwaka 1977, timu hiyo ilishiriki Ligi Daraja la Pili na ikapata nafasi…

Read More

Raha, karaha wenza kupishana sana umri

Mwanza. Simulizi ya Neema Daudi, mwanamke wa miaka 20 aliyeolewa na mzee wa miaka 50, imekuwa gumzo linalozua maswali mengi kuhusu uhalali, uhalisia na uhalali wa ndoa kati ya watu wanaopishana sana umri.  Ingawa ndoa ni muungano wa ridhaa, kuna nyakati ambapo ridhaa hiyo huzaa mateso makubwa kwa mmoja wa wenza, hasa pale tofauti ya…

Read More

Simba vs Nsingizini… Kuna mambo mawili

KUNA mambo mawili Simba inakabiliana nayo leo Jumapili inapoikaribisha Nsingizini Hotspurs kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mechi ya marudiano ya hatua ya pili ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kuwania kufuzu makundi. Jambo la kwanza ambalo Simba inakabiliana nalo, ni kuimarisha rekodi yake ya kutinga hatua ya makundi…

Read More

Unautambuaje uwezo wako wa kimapenzi?

Dar es Salaam. Katika uhusiano wa kimapenzi, moja ya vipengele muhimu ambavyo huamua ufanisi na uendelevu wa mapenzi, ni uwezo wa mtu kujitambua na kuelewa hisia zake pamoja na zile za mwenza wake. Kujitambua ni hatua ya msingi inayomsaidia mtu kuelewa vizuri anachotaka na kile ambacho hakitaki katika uhusiano wake. Hii ni pamoja na kujifunza…

Read More

Kwa JKT Tanzania boli haliishi hadi liishe

JKT Tanzania wamekuja kivingine msimu huu, kwani wamedhihirisha kuwa pambano la Ligi Kuu Bara dhidi yao haliishi hadi filimbi ya mwisho ya mwamuzi itakapopulizwa ndipo mpinzani anatakiwa kushangilia. JKT Tanzania iliyomaliza nafasi ya sita msimu uliopita Ligi Kuu Bara, msimu huu imekuwa na mwendo mzuri na kabla ya jana ilikuwa nafasi ya pili ikikusanya pointi…

Read More

Ukitaka kuoa au kuolewa na malaika umekwisha

Canada. Katika lugha ya Kiingereza, kuna msemo maarufu: “Mr. Right” au “Miss Right”, ukimaanisha mwenza anayefaa kuoa au kuolewa naye.  Sisi, kama wanandoa, tumepitia hatua ya kumtafuta mchumba. Kwa neema ya Mungu, hatukupita tu, bali tulifanikiwa na sasa tunaweza kushiriki uzoefu huu kwa nia ya kusaidia wengine. Kama kichwa cha makala kinavyoashiria, bila kujali dini,…

Read More