Gates of Halloween Na Ushindi Mkubwa kutoka Meridianbet

KAMPUNI kinara ya michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet, imezindua rasmi mchezo mpya wa kasino mtandaoni ujulikanao kama Gates of Halloween, ambao umeleta upepo mpya wa burudani msimu huu wa Halloween. Mchezo huu umejipambanua kwa ubunifu wake wa kipekee unaochanganya maajabu, mapepo ya kutisha, na fursa kubwa za ushindi, ukitoa uzoefu tofauti kabisa kwa wapenzi wa…

Read More

Meridianbet Kukuburudisha na Gates of Halloween Msimu Huu

MSISIMKO wa Halloween mwaka huu umefika kwenye kiwango kipya. Kampuni kinara ya michezo ya kubashiri nchini, Meridianbet, imezindua mchezo mpya wa kasino mtandaoni unaojulikana kama Gates of Halloween, ukiwa ni mlango wa kuingia kwenye ulimwengu wa matukio ya kutisha, bonasi zisizoisha, na ushindi wa kusisimua. Huu ni mchezo ulioundwa kuleta mchanganyiko wa maajabu na mvuto…

Read More

VIONGOZI WA DINI IKUNGI WAOMBA WANANCHI KUSHIRIKI KWA AMANI UCHAGUZI MKUU KESHO

Askofu Philemon Nyika wa Kanisa la International Evangelism Church Ikungi, mkoani Singida, akizungumza kwa niaba ya viongozi wa dini Wilaya ya Ikungi walipokuwa wakitoa tamko la kuwaomba wananchi kushiriki kikamilifu uchaguzi mkuu utakaofanyika kesho Oktoba 29, 2025. Na Mwandishi Wetu, Ikungi VIONGOZI wa Dini Wilaya ya Ikungi mkoani Singida wametoa tamko la kuwaomba wananchi wote…

Read More

MRADI WA HEET WABORESHA MIUNDOMBINU YA SUA, MWENYEKITI WA BARAZA AFANYA ZIARA KAMPASI YA MIZENGO PINDA, KATAVI

MWENYEKITI wa Baraza la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Mhe. Andrew W. Massawe, amefanya ziara rasmi katika Kampasi ya Mizengo Pinda mkoani Katavi tarehe 27 Oktoba 2025, kukagua maendeleo ya miradi ya miundombinu inayotekelezwa kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET). Ziara hiyo pia imelenga kuimarisha ushirikiano kati ya…

Read More

‘Ujio wa elimu ya amali kutoua vyuo vya Veta’

Dar es Salaam. Mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yanayoendelea duniani yameifanya elimu isibaki kama chombo cha kupata maarifa pekee, bali iwe nyenzo ya kumjengea binadamu uwezo wa kuishi, kufikiri na kufanya kazi kwa ufanisi. Ndiyo maana Tanzania, kupitia mapitio ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 (toleo la 2023), imeanzisha mtalaa mpya wa elimu…

Read More

Maktaba, usomaji vinakufa, Bohumata iamke

Dar es Salaam. Katika nchi inayoelekea kuwa ya maarifa, maendeleo ya kweli hayawezi kufikiwa bila kukuza utamaduni wa kusoma. Kusoma si jambo la anasa tena, bali ni hitaji la msingi kama ilivyo afya, elimu na miundombinu.  Katika muktadha huu, Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (Bohumata) ni chombo mama, mhimili mkuu wa maendeleo ya usomaji…

Read More